Picha: Mbowe akagua Red brigade Mwanza

Picha: Mbowe akagua Red brigade Mwanza

Ukawa ikishika dola....hawa ndo wanajeshi
 
Haya majambazi yana ishi vipi mjini au ndio yale mabaunsa ya Club billicanaz????
 
Kweli mkuu,hawa ni kuwawahi kabla hawajaleta vurugu.halafu wanataka nchi.wamekaa kiwiziwizi.
Ilitakiwa utafakari kwa nini vyombo vya Usalama havijachukua Hatua ilihali wanalifahamu hilo. Wewe kuwawahi ngumu, tooooo late! Wameshakamilika, organised! Huna ground yoyote zaidi ya Ukilaza!

hata boko haram walianza hivi hivi kama hawa red brigade,

Boko Haram walianza km green guard,hawajawahi kusajiliwa wala kutambulika kisheria. Red Brigade ipo kisheria kwani imo kwenye Katiba ya chama ambayo imehakikiwa na mamlaka husika nchini ikiwamo Wizara ya Mambo ya ndani ya nchi.Ni Ukilaza Kutolitambua hilo.

hayo mafunzo ni nani anawapa na wanatumia silaha gani? hiki kikundi kinahatarisha usalama wa nchi ,kivunjwe mara moja
Cha kuvunja ni Green Guard chenye Silaha na mafunzo ya Kijeshi ilihali hawatambuliki Kisheria. Fanya Homework yako sawasawa na Uache Ukilaza!
 
Sheria za nchi hii hovyo sana,hivi tuchukulie vyama vyote vikawa na makundi ya hivi alafu Sikh ya uchaguzi yakatofautiana na polisi unahisi mini kunafuata? hatujaleta maafa? mid binafsi napenda kuona tunabaki na jeshi moja kuliko hya makundi make haichelewi kuzakisha waasi hapa na tulivyo na misitu kama ya minziro sijuhi tu
 
ukitaka mazombi yahamaki uliza nani alipewa tenda ya ku-supply hizo suti. hehehhehe.

Ulishasikia suti nyeusi kupata ni shida? Hizi mbona zipo mitumbani kibao? Wewe tu mburula ndo unaona shida
 
Ninawashauri wangepewa jina jingine hilo ni la kihuni sana
 
Kulazimisha ukuu.Dictatorial tendancies hizo

Pathetic

Come on man, a country like this where anybody having different political outlook/opinion/thinking from that of CCM finds himself in Mabwepande forest, with no nails, eyes choped out, you need to have security of some sort!
 
suala la ulinzi na usalama ni kazi ya polisi, hicho kikosi chenu cha kigaidi ilitakiwa kitambulike ba wizara ya ulinzi na usalama,sio ofisi ya msajili wa vyama,

Wizara ya Ulinzi haina mandate ya kuingilia.Ofisi ya Msajili anayeteuliwa na Rais kama amavyo Waziri wa Ulinzi anavyoteuliwa imeshatambua na kukubali kwamba ni halali kisheria na kikatiba.Kazi kwenu sasa.
 
Come on man, a country like this where anybody having different political outlook/opinion/thinking from that of CCM finds himself in Mabwepande forest, with no nails, eyes choped out, you need to have security of some sort!

Mkuu,security ndo kuunda "jeshi" na kulikagua?!!!! Personal security inatosha

Gist ya hiyo event ni ku send a statement kuwa yeye ni mtu mkubwa na ana "jeshi".By definition jeshi ni taasisi yenye uwezo wa kupigana vita.Sasa sijui Mh Mbowe anaashiria nini yeye kuwa na "jeshi"!!
 
Mkuu,security ndo kuunda "jeshi" na kulikagua?!!!! Personal security inatosha

Gist ya hiyo event ni ku send a statement kuwa yeye ni mtu mkubwa na ana "jeshi".By definition jeshi ni taasisi yenye uwezo wa kupigana vita.Sasa sijui Mh Mbowe anaashiria nini yeye kuwa na "jeshi"!!

wale wa CCM wanaitwaje vile? Au mapenzi ya CCM yanakufanya uwe kipofu! Tafakari chukua hatua1
 
Hii si Sawa hata kidogo mamlaka husika zichukue hatua stahiki
 
....

red%2Bbrigade2.jpg


mbowe_Red%2BBrigade.jpg


Lwakatare.jpg


red_brigade1.jpg

Kwa MOSSAD HUKO ISRAEL NDIKO WALIKOJIFUNZA MBINU ZOTE ZA KULINDA KURA.
 
Wizara ya Ulinzi haina mandate ya kuingilia.Ofisi ya Msajili anayeteuliwa na Rais kama amavyo Waziri wa Ulinzi anavyoteuliwa imeshatambua na kukubali kwamba ni halali kisheria na kikatiba.Kazi kwenu sasa.
Kura zinalindwa na Tpdf na polisi.hao ni mgambo wa kulinda mikutano ya kampeni.subiri uone jwtz kama watasogea
 
Back
Top Bottom