Picha: Mbowe akagua Red brigade Mwanza

Picha: Mbowe akagua Red brigade Mwanza

....

red%2Bbrigade2.jpg


mbowe_Red%2BBrigade.jpg


Lwakatare.jpg


red_brigade1.jpg

th
th
th
 
safi sana , ukakamavu ndio silaha ya ushindi , hakuna cha makongoro kukimbia na masanduku wala nini !
 
Rwakatare ni kiumbe hatari sana kwenye jamii ya watu wastaarabu.Serikali iangalie kwa karibu haya makundi ya kihuni.

Nafurahi kuwa mnatambua sasa kuwa ni mtu hatari!! waulize usalama wa taifa wanamjua na michezo yao ya kitoto!!
 
kuvaa mizura ya mitumba iliyo andikwa new York ndio nini ?
 
kwastaili hii Tanzania hatuko salama kabisa
 
Kumbe unajua jeshi halianiki, si ni ofisi ndogo ya chama tawala.
 
Uhusiano wa New york na chadema ni nini?
 
cha msingi wasimamie kura,na watangaza matokeo wote wajulikane,Mapeeema 🙂 :A S 465::canada:
 
Nilidhani red brigafe vijana kumbe wazee wa viroba na gongo.Hapo akisituliwa tu na kirungu anatapika vipande vya maini yote yameoza kwa viroba na gongo.
 
Back
Top Bottom