superstar1
JF-Expert Member
- Oct 10, 2014
- 222
- 176
Najiungaje Red Brigade? Mimi nipo Dar sijui hata mazoezi wanafanyiaga wapi.
Ulishasikia suti nyeusi kupata ni shida? Hizi mbona zipo mitumbani kibao? Wewe tu mburula ndo unaona shida
ukitaka mazombi yahamaki uliza nani alipewa tenda ya ku-supply hizo suti. hehehhehe.
Chama cha Demokrasia na Maigizo =CHADEMA
CHADEMA = Chama cha Dance Endelevu na Mahaba.
Naona safari hii kutakuwa hakuna sababu tena na malalamiko kuwa Usalama wa Taifa wameiba kura walinzi tayari mnao.....
![]()
![]()
![]()
![]()
wale wa CCM wanaitwaje vile? Au mapenzi ya CCM yanakufanya uwe kipofu! Tafakari chukua hatua1
Naona safari hii kutakuwa hakuna sababu tena na malalamiko kuwa Usalama wa Taifa wameiba kura walinzi tayari mnao.
Kwa upande wa suti kazi mnayo ni mtambo wa joto 100% plastic.
Halafu huyo mlinzi wa mbele usiku uwa anasimama mlangoni pale Bilicanas.
nawaonea huruma hawa siku wakiingia kwenye 18 za Polisi au JWTZ wataonja joto ya jiwe
Chama cha maigizo wanaigiza na bongo movies ni ccm CHADEMA ni chama makini chenye viongozi makini
WAmepata Mafunzo Toka Wapi? Wasijekuwa Midebwedo
Naona safari hii kutakuwa hakuna sababu tena na malalamiko kuwa Usalama wa Taifa wameiba kura walinzi tayari mnao.
Kwa upande wa suti kazi mnayo ni mtambo wa joto 100% plastic.
Halafu huyo mlinzi wa mbele usiku uwa anasimama mlangoni pale Bilicanas.
Serikali ya CCM kweli dhaifu, kama kila chama kitakuwa na sungusungu, basi tunaelekea pabaya
haa haa mkuu una utani na jk wewe! Yaani umwambie green guard wanapora silaha? Duh!Hawa ndiyo wanaovamia vituo vya polisi na kupora silaha,JK kalala usingizi mzitoooo anahangaika tu kumfitini Lowassa duh!
serikali kupitia ccm ilianza kuwafunza watu mafunzo ya kijeshi kupitia jkt halafu ikawatelekeza!Serikali.iko.wapi hapa wanatengenezwa kina.Kone, mtashindwa.kuwahimili baadaye