Pengine hawa mashehe ni waelewa sana na wasomi wazuri. Katika mapokeo ya Kiyahudi viatu vilivuliwa katika maeneo ya ibada kwani viliaminika kubeba uchofu mwingi katika maeneo vilivyokanyaga ikiwa msalani na maeneo mengine. Maana kubwa ya kiroho ni mtu aende eneo la ibada akiwa msafi kiroho na kimwili. Kwa sasa watu wanavalia njuga la viatu wakiacha la usafi wa roho!![]()
Kwa ufahamu wangu mdogo mkao huu aliokaa Makonda ni sahihi katika kuombewa dua maana kakaa kama yuko kwenye sala. Lakini mbona hajavua viatu ili kukamilisha taratibu za ibada ya kiislamu? Na hao mashehe wanao mwombea dua hawajaliona hilo?
Huu sio usanii wa kisiasa ndani ya dini au mie ndie sifahamu taratibu? Kuna siku hizi dua tutafanyiwa Bar huku Castle lite ya baridi iko pembeni kwa madhumuni ya kiki za siasa.
Makonda yupi?? Makonda Daudi au Makonda mtangazaji wa redio??? Siwezi kumlaumu Daudi kwa jinsi anavyohangaika kutafuta maombi, lkn atambue kuwa hakun muujiza wa kubadilisha ukweli kwenye akili za watanzania kuhusu yeye kutumia vyeti vya mtu mwingine.Makonda komaa hadi kieleweke.
Mbona waislam wanafonya ibada au dua popote pale huwa wanavua viatu,haijalishi mskitini au wapi.acheni upoyoyo kwanza hapo haikuwa msikitini mpaka avue viatu, kwani hao waliokuwa wakimwombea hiyo duwa walivua viatu?
Ujinga tu, yani tumekosa vitu vya kujadili hadi tunajiabisha kwa vioja vya ajabu kiasi hiki?
Hivi Makonda anawanyima chadema usingizi kiasi hiki?
Je hao mashehe wao wamevua viatu? Je hapo ni msikitini?
Ni upumbavu eti sasa hivi agenda kuu ni Makonda.
Asa avue viatu ili iweje
Ponda sizani kama anaweza shiriki kwenye hili
HHivi wewe unafananaje sura? Unajielewa kweli? Chadema waifisadi nchi kama lini? Unaweza kufafanua ni vipi chadema inaweza kuifisidi nchi?Wauza ngada chadema mna mambo jamani.
Apunguze hasira ili muendelee kufisadi nchi??
kaombewa na mashehena hawa sio MASHEIKH.. kwanza hiyo dua itaombwaje ombwaje kama sio drama tupu..Hapo ni maigizo hakuna kuombewa wala nini... baba anapenda kamera huyu kama wemasepetu,halafu Kakosea script ukikaa hvo shurti uvue viatu...
Uchochezi huu hahahaHapo mwanzoni, shetani alikuwa kajificha ndani ya kundi la malaika, Makonda ngoja ukutane na Lisu kizimbani, utalikumbuka jina lako halali
AmenMimi pia Sheikh vile vile.
Na namuombea Makonda Mungu amuumbue km anavyo waumbua wanyonge wasio na Hatia.
Amdhalilishe km anavyodhalilisha watu wasiokuwa na Hatia.
Amporomishe Chini km alivyo mporomosha Firaun na Maadui wa haki wengine.
Na ampige maradhi yasio poneka kwa Dhulma anazofanyia watu wasiokuwa na Hatia.
Can i get "Amen" .
Ahsanta.