mama chupaki
JF-Expert Member
- Aug 23, 2015
- 940
- 768
Waganga hao wa kitabu.Hawa ni masheikh au makada wa CCM?
Waganga hao wa kitabu.Hawa ni masheikh au makada wa CCM?
Nashukuru mkuu, nilifikiri ni najisi generally, sikujua kama ni kwako tu.Jifunze kuelewa maana ya najisi. Nguruwe kwa waislamu ni najisi lakini kwa wakatoliki ni nyama tamu ya kuliwa. Kwangu mimi kitu chochote kinachohusiana na CCM ni najisi!!
Mixture mkuuHawa ni masheikh au makada wa CCM?
Songa mbele makonda mpaka wauza ngada chadema wanyooke



Na wengine kama mimi!!Nashukuru mkuu, nilifikiri ni najisi generally, sikujua kama ni kwako tu.
Wanafiki wakubwa
Njaa mbaya Sheikh wa Dar es salaam ndio muongozaji wa komedi hii,na anazifukuzia fedha za GSM kwa nguvu kubwa