Picha: Masheikh Dar wamuombea dua RC Makonda

Picha: Masheikh Dar wamuombea dua RC Makonda

Hizi njaa zinapofika kichwani hatari sana, yaani unaweza kufanya chochote mradi unali please tumbo, eti wanajiita Mashekhe, hawa ni makada wa Chato.
 
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda akiombewa dua na viongozi dini watika wa ufunguzi semina ya Walimu wanaosomesha Quran Tanzania.

View attachment 474598
Hatukuachii kibano kipopaleple[emoji90]
Lazima utueleze jinalako halisi ni nani na utuonyeshe utueleze kama ulifeli cheti cha form4 umekipataje
Hao mashee njaa inwatesa tu hawana jinsi
 
Hawa ndio wanaotudhalilishia Dini yetu.
Na sisi tunaopenda Ukweli nafasi za Usheikh hatupewi hata tupigane na mizinga.

Hebu mtumeni huyo makonda akaombewe Dua na Sheikh mpenda HAKI na Msema Kweli al allama Sheikh Ponda uone km hakutolewa na Bakora za makalio.

Hao SIO MASHEIKH bali ni MASHEHENA. Yaani Mizigo kwenye Dini hii Tukufu.
Hao ni wachumia tumbo wakiongozwa na Alhad Mussa
 
Hapo ni maigizo hakuna kuombewa wala nini... baba anapenda kamera huyu kama wemasepetu,halafu Kakosea script ukikaa hvo shurti uvue viatu...
Hapo sio nasjid ungesrma chachi sawa
 
Mimi naona kunashida kubwa kuliko tunavyofikiri wa ndugu. Kwann ukae chini? Ndio waomba dua waneshauri hivyo? Mbona wao wasikae? Km ni maaumuzi yake pekee aliwaza nn? Alitumia nn kuwaza mpaka afikie kuketi chini?
 
Back
Top Bottom