Picha: Masheikh Dar wamuombea dua RC Makonda

Picha: Masheikh Dar wamuombea dua RC Makonda

Hii ni sawa na kuchakachua taratibu za imani ya kiislamu! Halafu Makonda ni mkristo na imani yake inssisitiza kwamba hakuna njia nyngine yoyote ya kumfikia Mungu bila kupitia kwa Yesu ambaye naye ni Sehemu ya Mungu (Neno wa Mungu aliyetwaa mwili wa kibinadamu). Ukristo na uislamu ni mbingu na ardhi. Wakati wakristo wanasisitiza Umungu wa Kristo, waislamu wao wanapinga kwa nguvu zao zote hilo. Zaidi sana na mbaya zaidi Ukristo haumtambui Muhamad SAW kama mtume au nabii wa Mungu. Kudhibitisha hili hakuna sehemu yoyote kwenye Biblia ambapo Muhamad SAW ametajwa!
Lakini pia ili dua ilete maana na iwe effective lazima uwe na imani dhabiti na uwe tayari kufuata Mwenyezi Mungu kupitia kwa mtume wake Muhamad SAW.
Je, ni.lini Makonda amesilimu? By the way, kitendo alichokifanya kiimani hasa ya Kikatoliki kina warranty immediate excomunicationbfrom the church. Hapo ni sawa na kukana imani yake! Kwenye swala la kiimani hakuna demokrasi ya kuamini chochote unachotaka kwamba utaenda mdikutini.leo kesho uende kanisani n.k Hilo halipo. You commit yourself to one or the other. Not both!
Ndio maana hujawahi kumuona Kikwete akipiga magoti kanisani au kufanya ishara ya msalaba au kubarikiwa na askofu! Yeye hukaa zake tu akitazama wanavyofanya wahusika.

Ni kwa mantiki hii naona alilofanys Makondakta ni muendelezo wa maigizo yake ya kutafita kiki!
 
Hivi kuvaa/kuvua viatu kunahusiana vipi na kupokea/kutopokea dua?

Naona ndio swala linalo trend hapa
 
Yupo sahihi kabisa maana kazi aliyoifanya ni nzito kweli wengi wameikwepa sana tangia Tz ipate Uhuru sasa makonda kaiweza alafu watu wanadai karopoka ..Rc Makonda may God bless you forever and ever Amein
 
HAPA SICHANGII KITU
HAPA SICHANGII KITU
HAPA SICHANGII KITU
 
Kweli taasisi za dini za Tanzania zimeweka mbele maslahi yao kuliko hata dini yao.
uyo anaeombewa ni mja wa Imani gani na kwa msingi upi asa ktk uislam kuna kituko kama icho
 
hayo yote tisa, kumi aoneshe cheti chake cha kidato cha nne basi mwisho wa mchezo asipofanya hivyo issue hii ni mwiba wala haitaisha Leo wala kesho.ANALO.
Aliyemuajiri alikiona,sasa wewe cha nini?unataka kumpandisha mshahara.
 
Wachumia tumbo hao
Hakuna dua Kati yao
 
Kweli taasisi za dini za Tanzania zimeweka mbele maslahi yao kuliko hata dini yao.
uyo anaeombewa ni mja wa Imani gani na kwa msingi upi asa ktk uislam kuna kituko kama icho

Nashangaa,anauelewa uislamu wetu kweli hawa.
Naona kuna haja ya kufanya mabadiliko makubwa kwenye misikiti yetu,kumejaa wachumia tumbo
 
Back
Top Bottom