Hivi wewe una akili timamu au? Hauwezi kulinganisha mapokezi ya hao watu wawili hata siku moja. Labda tu Uwe kibaraka, mchumia tumbo au mbulula wa upande mmoja.
Nasema hivi kwa sababu
Mapokezi yanatofautiana. Zito amevuliwa nyadhifa zote ndani ya chama, amerudi nyumbani kwao kupata huruma, sympathy kwa ndugu zake. Waha wengi wao hawajasoma, wana elimu ya darasa la Saba, hawana kazi,
pia mkoa wa Kigoma wakazi wake wengi ni waha. Wabishi na hawana uelewa wa mambo, wanapenda kufuata mkumbo ili waonekane wanajua. Hivyo ni lazima wajitokeze kumpokea kaka yao. Huwa wanachukia sana "wakabila" kama huwajui muulize zito.
Lena alikuwa akitoka kwenye kesi ilimrudishia ushindi, ilikuwa ni furaha, wakazi wengi wa arusha ni kutoka sehemu mbalimbali za tanzani, wengi sana elimu na pia wale walioishia darasa la saba wana uelewa zaidi ya wa Kigoma. Hiki na manispaa. Arusha ni mji wa biashara. Wengi walikuwa makazini, au kwenye shughuli binafsi.
Acha kunipa matumaini uliyonayo kichwani. Viongozi wa chadema Kigoma walipanga vurugu kwenye mkutano wa katibu wao. Si ajabu. Soma thread ya chadema kasulu