Jina lako lina uzito sawa na maoni yako. Huwezi kumfananisha mchaga na muha ndani ya CDM ya mzee Mtei.Tofauti nikwamba kuna mwasiasa Mhe Lema na mchumia tumbo zitto kufananisha mapokezi nikama kumonea zitto uwazi kufananisha mbunge mwenye madiwani wawili na mwenye madiwani kumi na tano.
acha ushamba wewe majambazi wawe wote hao basi tz imeisha halafu nani anajiamini bungeni hata anapowasilisha au kutetea hoja acheni hizo lema ni jembe muacheni chali wa R amekuja kuwashika
Kumlinganisha Lema na Zitto ni kudhalilisha Zitto.
Usaliti mmeuwona wa zitto tuu lakini usaliti wa Mbowe kula good time na kimada sio usaliti, au wafanya wao tuu akifanya Zitto inakua mwao?Si Dr.Slaa si Mbowe si Mnyika, si Lissu atakayeweza kulingana au kufanana na zitto kwa Usaliti.! Zitto ni zaid Ya ulijuavyo.!
kwanza nshindwa kuelewa lengo lako ni lipi kwa kulinganisha picha, cha kwanza uko bias,katika kuweka picha kubali ukatae zitto jimboni kwake anakubalika sana, pili kusema kuwa ccm ndo wameandaa je huo mkutano wa lema umeandaliwa na nani acha siasa za chuki chadema ni ya kwetu sote tuaangalie tunaijenga vipi leo hii unakuja na mada kama hiyo wakati unajua wote ni wanachama wa chama kimoja, na kamati kuu ilishaamua..je zitto ni mwana chama chama gani na lema ni chama gani leta mada za kukisaidia chama na siyo kushindanisha vitu ambavyo havikisaidii chama
Watakuja wana Lumumba hapa... utawaskia.
Mini kabang ni nani, na nini maana yake?
Mapokezi ya mwanasiasa wa Chadema vs mapokezi ya mganga wa kienyeji wa ccm[/QUOTE
utakua umekalia kitu chenye ncha kali.
Usaliti mmeuwona wa zitto tuu lakini usaliti wa Mbowe kula good time na kimada sio usaliti, au wafanya wao tuu akifanya Zitto inakua mwao?
Mapokezi ya mwanasiasa wa Chadema vs mapokezi ya mganga wa kienyeji wa ccm
Kumfananisha Zito na Lema ni sawa na kufananisha mlima na kichuguu.
Zito hana wa kumfananisha katika Chadema ahata Dr Slaa analijua hilo na ndilo Chadema linalowaumiza kichwa. Kwani nyota yake ni kali sana hakuna wa kuweza kuizima.
Ok Tusubiri CC ya chadema kama itaweza kumfukuza baada ya utetezi wake uliosheheni kuikosoa na kuonyesha namna walivyovinja katiba katika kadhia yake.
hoja yako imejaa mapenzi binafsi bila hata chembe ya ushahidi.humu jf kuliendeshwa poll ya nani ni mashuhuri kati ya Zitto na Dr slaa,ile poll ilioneshe mheshimiwa Dr wa ukweli anampita kwa mbali mno huyo Zitto wako.wakati dr alikuwa na kura 98000, zitto alikuwa amepata kura 7000 tu!! na hata leo hii ikiendeshwa kura ya maoni nani mkali kati ya mh Lemma na huyo zitto wako utashangaa.kifupi Zitto amepoteza popularity yake ndani ya chama na nje ya chama labda kidogo huko ccm ambako anatumikatumika hapa na pale kukihujumu chama cha CDM.Kumfananisha Zito na Lema ni sawa na kufananisha mlima na kichuguu.
Zito hana wa kumfananisha katika Chadema ahata Dr Slaa analijua hilo na ndilo Chadema linalowaumiza kichwa. Kwani nyota yake ni kali sana hakuna wa kuweza kuizima.
Ok Tusubiri CC ya chadema kama itaweza kumfukuza baada ya utetezi wake uliosheheni kuikosoa na kuonyesha namna walivyovinja katiba katika kadhia yake.