Otorong'ong'o
JF-Expert Member
- Aug 17, 2011
- 38,900
- 28,012
Zitto kapokelewa na UVCCM...
kwa hiyo yote yabayoonekana kwenye picha za lema ni majambazi.. kama ni elimu hata prof kapuya ni msomi lakini kazi anayoiweza ni kusambaza ukimwi kwa watoto yatima...
Ya Kapuya hayahalalishi umbumbumbu wa LEMA, Kama LEMA hajaenda shule, hajaenda tu! Kumlinganisha Msomi mwenye Masters na Standard Seven Leaver sio Haki Kabisa.
kwa kuwa wewe huwa unatumwa basi kila mtu anatumwa...kwamwendo huu wa ccm safari hii mtapata kura elfu tano(5000) kati ya kura 100,000..
angalia nilijiunga lini jf halafu tumia akili kidogo tu ujiulize thread zote huwa natumwa na nani..
Kwa hiyo tofauti ni kwamba Zitto kapokelewa na wazee wasiojitambua na Lema amepokelewa na vijana wanywa viroba...
Misukule ndio mnaganga njaa, kutwa nzima mnashinda jamiiforums mkipost matusi!
wonders shall never end in tz. y black belt & not......!!???????????Huwezi kumfananisha Zitto na huyo muhuni wa Arusha lema
Lema hawezi kumsumbua kichwa mtu yeyote CHADEMA labda yule kilaza mwenzake msigwa
huyu mvuta bangi unayemwita wewe pimbi ana akili na namna ya kukupigania wewe na mapimbi wenzako wa maccm mkala uku mmekaa,lakini huyo msaliti wenu mnayemtetea ana lolote zaidi ya hoja za kinafki mlizokuwa mnamtengenezea hili aonekane ni kichwa kumbe sasa hivi ni mkia tena wa sungura mfupiii!wasaliti wote ndani ya Cdm wameshika adabu muhulizeni yule aliyetoka kwa magamba sasa hivi kwisha na 2015tunawaweka kapuni mkitaka muwachukue.
kwa kuwa wewe huwa unatumwa basi kila mtu anatumwa...kwamwendo huu wa ccm safari hii mtapata kura elfu tano(5000) kati ya kura 100,000..
Kiukweli Mapokezi ya Zitto yametia Aibu sana.WanaCCM waliojitokeza kumlaki ni wachache sana na matarajio yake!