Picha Mapokezi ya Zitto Vs Lema

Picha Mapokezi ya Zitto Vs Lema

We Crashwise LEMA anakutuma Uje umpigie Promo za kitoto hapa! Mwambie dawa yake ni boksi la kura 2015.
Ubunge atausikia kwenye Bomba!
 
Last edited by a moderator:
We Crashwise LEMA anakutuma Uje umpigie Promo za kitoto hapa! Mwambie dawa yake ni boksi la kura 2015.
Ubunge atausikia kwenye Bomba!


Kwa hiyo wewe ndio utapanga matokeo ,wala hatuhitaji kura yako kwa mtu mwenye mawazo kama yako .
 
Last edited by a moderator:
Mapokezi ya Zitto yalikuwa niya kawaida tu ikizingatiwa wengi tulioenda hasa sisi Chadema chama na sio wale Chadema Zitto tumeenda kumsikiliza anakuja na porojo gani? na hao ndio tulikuwa wengi.Tumemsikia hakuna jipya tofauti na kutafuta hurumakwetu!

mkuu kwani zito yupo sakina?
 
Wanajua walicho kifanya kwenye mapokezi hayo CCM wametumia pesa nyingi sana kuratibu....

Uko sawa kwani mapokezi ya Zitto hayana sura ya Ki~chadema,hayafananii kabisa na peoples power???Ni chama gani hicho kipya anachotaka kukianzisha???
 
Natumaini unamjua vizuri ZZK, kama humjui tafadhali kaa kimya, ZZK ni kama Panya...huyu jamaa siasa zake ni za kung'ata na kupuliza, si mtu anayefanya jambo kwa kujenga chama bali kujijenga yeye mwenyewe, hafai kabisa kijana huyu mpaka abadirike na ni lazima abadirike kama anataka kusonga mbele na siasa za bongo, mwambie aache kiburi cha kujiona yeye ni zaidi ya chama na wengine.

Siasa za ZZK zimejaa ukabila, ukanda na like lingine ambalo wewe unalishabikia, angalia nani yupo nyuma ya ZZK then tafakari...

Huyu kijana mwezetu hafai hata kuwa kiongozi wa mtaa maana atawagawa wananchi wote kwa itikadi zake na mambo yake.

Tufikie wakati watu kama ZZK watolewe CDM kwa manufaa ya chama hata kama kuna gharama ya kulipa kwa hilo, why ndani ya CCM kuna heshima ya vikao ingawaje kuna makundi, ni lini ulisikia CCM wakitoa tamko lao kuhusu viongozi wao dhaifu na hao dhaifu wakatoka na kutoa matamko yao au kwenda kwao kufanya mikutano?

Mawaziri watano waliitwa, wakaambia nyinyi mzigo kwa chama, umewasikia kuja kwa media, kuitisha press conference, kulalamika FB na twitter? Why hawajafanya hili? Na unafikiri kwa nini?

Kwanini ZZK anapenda kutumia media kuzungumzia habari za chama na wala si kwenda ofisi za chama na kusema kama kweli ana agenda ya kujenga chama, kila kitu ni FB na twitter why?

Ili kutegeneza discipline ndani ya chama lazima kuchukua maamuzi magumu bila kuangalia ukubwa wa Samaki, kama ni kuvua wavuliwe tu bila hivyo kutokuwa na CDM ZZK, CDM Mbowe, CDM Dr. Slaa, Kaskazini, Magharibi...etc

Ifikie wakati chama kwanza majina binafsi baadaye na hili ndiyo wengi tunataka, majina yapo, yanakuja na yatapita ila chama kitizidi kuwepo na kushamirikama tukiamua kujenga chama na wala si watu.

Nani alikuwa na nguvu kama Augustino Lyatonga Mrema kwenye siasa za TZ, yupo wapi sasa? Tuache siasa za majina na tujenge vyama kwanza, CDM bila ZZK, Mbowe, Slaa na wengine inawezekana kama tukiamua kuchukua maamuzi magumu.

chadema vikao vyao viko jf ndo maana kurugenzi na tumaini makene wanashinda huku
 
Hapa naanza kupata picha halisi ya jina lako maana umekosa akili kama msalani kwenyewe kulivokosa hadhi. hizo ni hujuma tu ambazo ni za kinafiki wewe ni ccm then unajifanya unaionea huruma chadema why usiionee huruma ccm inayonuka na ubovu wa mawaziri wake.take care acha that shit zitto mwenyewe mmepokea ccm wenyewe unaleta pumba jf inataka watu punctual


Na hiyo Chadema inayonuka ufuska na utapeli wa ruzuku za chama ikiwa pamoja na majambazi waliokuja kujificha humo
 
Zito kabwe ni kijana makini,mwajibikaji na mahiri lakini jamani hawa wanasiasa tunatakiwa kuwa makini nao namwamini sana huyu kijana lakini sio kwa asilimia zote coz siasa za nchi yetu hazitabiliki....wananchi tunahitaji mabadiliko lakini wanasiasa wetu hawayataki haya mabadiliko coz wanabadilika kama kinyonga kuna wakati namwamini zito lakini pia kuna wakati ananikatisha tamaa lakini bado nayatafakali sana mawazo na misimamo yake jamani watanzania hebu tujifunze kuyapambanua mambo kuliko kuwategemea wanasiasa watutafunie kila kitu ndipo tuone mwanga,tuwape nafasi kulingana na kwamba wao ni viongozi wetu lakini tuwe na tahadhari kubwa na wanasiasa hawa ambao wameshika hatamu ambayo inaamua almost sehemu kubwa katika maisha yetu
 
Nina wasiwas sana kuwa ndani ya chadema vijana wengi hawana akili nzuri

kwa akili za kawaida kabisa huwexi kumfananisha lema na zitto...ney haipo

darasa la saba na masters holder hamna ulinganifu

x jambazi (lema ) vs zitto ( mzalendo) hamna ulinganifu hapo

Lema alipokewa na majambazi wenzie

kwa hiyo yote yabayoonekana kwenye picha za lema ni majambazi.. kama ni elimu hata prof kapuya ni msomi lakini kazi anayoiweza ni kusambaza ukimwi kwa watoto yatima...
 
Hongera brother zito nakumbuka mwaka 2007 kwenye operation sangara ulizunguka kanda ya ziwa peke yako
 
Ni kweli ,kama ilivyo kosa kumfananisha aliyemtoa bikira mama yako mzazi ,na baba yako aliyekuta mama yako kabikiriwa,watu washachukua madini!
Umefuzu kozi ya matusi inayoratibiwa na BAVICHA, sasa unaweza kuwa mbeba ma-file na begi la laptop ya BABU.
 
We Crashwise LEMA anakutuma Uje umpigie Promo za kitoto hapa! Mwambie dawa yake ni boksi la kura 2015.
Ubunge atausikia kwenye Bomba!

kwa kuwa wewe huwa unatumwa basi kila mtu anatumwa..
 
Last edited by a moderator:
We Crashwise LEMA anakutuma Uje umpigie Promo za kitoto hapa! Mwambie dawa yake ni boksi la kura 2015.
Ubunge atausikia kwenye Bomba!

kwa kuwa wewe huwa unatumwa basi kila mtu anatumwa...kwamwendo huu wa ccm safari hii mtapata kura elfu tano(5000) kati ya kura 100,000..
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom