kama kiswahili tu fasaha hujui je utaweza kushindana kujenga hoja na mimi? ukabira ndiyo kiswahili cha wapi? nyie " wakuja " mpoje?
Hivi endapo ukawa watashika dola, hiyo red brigade ya CHADEMA ndo itakufa au watakuwa na majukumu gani?
Hata picha za maana mimi jaona. Au mkutano umeairishwa
View attachment 276212bao la mkono lamdondosha bafuni baada ya mafuriko ya lowasa
Watu wa Mbeya tupeni updates ya Picha maana cjaona hapa jf wala whatsapp picha na video zikitembea kuhusu nyomi ya Mbeya.Mmevunja Rekodi ya Dar?
mkombozi wa " panya road wa kisiasa chadema / ukawa ".
atazungumzwa rasmi tarehe 2 november 2015 atakavyo apishwa rasmi kuwa rais wa awamu ya tano hivyo nyie wazururaji a.k.a panya road endeleeni tu kuneng'eneka na kujidanganya.
Mungu hataki bao la mkono,sasa huwezi juaView attachment 276212bao la mkono lamdondosha bafuni baada ya mafuriko ya lowasa
Magufuli atabaki kuwa mwenyekiti wa CCM taifa