Picha : Mapokezi ya Lowassa Mbeya

Picha : Mapokezi ya Lowassa Mbeya

Kama mishahara na malimbikizi ya madai kwa waalimu yanawasumbua kulipa, je mtaweza kuwapatia Laptop kila mmoja wao?. Wamekuwa ni watoto wa kudanganywa kwa kuwapelekea pipi ya kijiti wakati wakisikia njaa?.
Innovation & Creative thinking imewapita kushoto nyie, mmewafanya waalimu kuwa dampo lenu la kila chaguzi, ngoja mtakiona mwaka huu!
 
so difficult to stop a river to reach the sea.
 
Twende Ushindi ni uhakika mwelimishe mwezio asiye jijua watajiongelesha tu kwakuwa twahitaji Mabadiliko Sasa na siyo baadahe.
 
attachment.php


attachment.php


attachment.php


attachment.php


attachment.php


attachment.php

Nawezaje kupata hivo viatu broo?
 
Tuliomba mabadiliko kila kukicha. Padre Dr Slaa alizunguka nchi nzima kuhutubia kutakiwa mabadiliko,
watu walikufa Arusha na kwengineko, Mungu awaweke mahali pema.,
watu walibambikiwa cases kila kukicha ktk mahakama zetu etc

Mungu amejibu sala zetu Watanzania. Mungu mkubwa na azidi kushukuriwa..

Tuendelee kusali 25th October tufanye maamuzi ya kuleta mabadiliko pacpo damu kumwagika.

Tulianza na Mungu tutamaliza nae pia.
 
ccm wakishinda mwaka huu kwel ntaamini kuwa uchawi. wizi, na miujiza ya mungu wa lumumba na tutaingia kwenye record ya dunia kuwa nchi inayoongoza kwa wizi tena wa kitoto wa kura

Kura hazijapigwa mshaanza kulia wizi, mkoje nyie. Mnapoibiwa kwani nyie vipofu. Mkishindwa Ina maana hampendwi na sio hila nyingine. Wacha utoto.

Mtashindwa na hamtafanya lolote. Mtauuza uchaguZi Kama mlivyouza chama.
 
dah! nimeipenda hiyoo.... "WALIMU TUNAHITAJI MAISHA BORA NA SI LAPTOP " duh!!!!!! hahaaha
 
watu ni wengi sema mbeya hakuna magorofa ya kupanda ili upige pichaa ni shidaaaaaaaaaa
 
adi kufikia sasa kama kuna mtu anaeshabikia ccm atakua mgonjwa wa akili
 
wanaoshabikia ccm ni maboya mda wowote yanasombwa na mafuriko
 
Back
Top Bottom