Picha : Mapokezi ya Lowassa Mbeya

Picha : Mapokezi ya Lowassa Mbeya

​Mi nadhani tuufanye mwaka wa mwisho kuvumilia wizi wao wa kura zetu.
 
Hivi endapo ukawa watashika dola, hiyo red brigade ya CHADEMA ndo itakufa au watakuwa na majukumu gani?

attachment.php
 
Hivi endapo ukawa watashika dola, hiyo red brigade ya CHADEMA ndo itakufa au watakuwa na majukumu gani?

Hao ni walinzi wa viongozi wa chama na shughuli za chama,wataendelea kuwepo kama Greengad ya ccm wanyonyaji Tz
 
mkuu subiri picha unazotaka za nyomi utazipata tuuuuu.....tunatafuta angle ya kukaaaa...c unajua mbeya hakuna magorofa
 
Jamani sisi tulioo mbali tulishieni picha maana leo hakuna TV inayoonesha live
 
Back
Top Bottom