Picha : Mapokezi ya Lowassa Mbeya

Picha : Mapokezi ya Lowassa Mbeya

atazungumzwa rasmi tarehe 2 november 2015 atakavyo apishwa rasmi kuwa rais wa awamu ya tano hivyo nyie wazururaji a.k.a panya road endeleeni tu kuneng'eneka na kujidanganya.

binadamu mna roho ngumu kama jiwe
 
Kazi ya Mungu haina makosa...we shall overcome!!✌🏽️✌🏽
 
Bas. Mbeya kuna wachaga sana zaid wanyakyusa wasafwa na wakinga kwel wwe think again na ukabira wako

kama kiswahili tu fasaha hujui je utaweza kushindana kujenga hoja na mimi? ukabira ndiyo kiswahili cha wapi? nyie " wakuja " mpoje?
 
POPOMA hakuna cha "no comment",uta comment tu hapa.
nitahakikisha "nakuchonoa" mpaka upandishe jazba ili uanze yale matusi yako halafu upigwe ban.:biggrin1::biggrin1:
CC Mussolin5 nifah

nashukuru kwa kuwarahisishia kazi @moderators na @invisible kwa hiki ulichokiandika. nakutakia kila la kheri katika hiyo agenda yako isiyoweza kufua dafu kwani waswahili husema ukimjua jina mbwa hakupi shida.
 
nakutakia kila la kheri katika hiyo agenda yako .
attachment.php
 
eeeeeh eeeeeh nimeangalia taarifa ya habari mbeya watu walivyojaa hadi sisi wanaccm baridi mwili mzima
 
Mkuu naona unateta na POPOMA the Chief spy
round hii kawa mpole kama maji ya mtungini,mpaka anatia huruma.tusubiri makeke yake baada ya adhabu yake kuisha kupitia ile account yake anayoitegemea.:biggrin1:
 
Wananchi shown much love to our beloved CCM lakini kwa hali hii Mungu amekipenda sana chama "Bwana has given & also has taken His almighty name be blessed"

Mpendachapati
 

ningeshangaa huyu mama wa kichaga asingeipenda chadema / ukawa kwani ndiyo chama chao wa kaskazini ila siyo chama cha watanzania wote kwani watanzania 90% ni ccm tu pekee.

Kumbe Mbeya ni Kaskazini siku hizi?
 
Back
Top Bottom