King'asti hujambo? Mliishi Moshi sehemu gani? Na kwa nini aliogopewa? Nilisoma darasa moja na huyu Babu sambeke wkati huo akiitwa ERNEST MALLYA pale Kibo Secondary miaka ya 1978-1982 huenda ulikuwa hujazaliwa.We grew up fearing this guy. Akikatisha kitaa dingi anataka kulala na ford escort yake chumbani. Kila refu lina ncha.
Ernest mallya= bob sambeke....hivi umri ukisogea na jina linabadilika ...
Mkuu asante kwa picha nilkuwa najiuliza namna ya kwenda kuchukua picha mnaana nilijua uko korogwe...
what is happening kwa matajiri wa arusha town. Ninaona kama miezi hii miwili wamekufa wengi kiaina. Mara yule aliyefia Mahenge...mara wakili mara rubani wake....kitu gani kinatokea ambacho wengine hatukijui?
Urubani unahitaji proffessional judgement ambayo iko based on scientific pyhsical data.Uwanja wa ndege wa ndege wa Arusha unafungwa saa kumi na mbili na nusu kwa sababu hauna taa. Na jamaa inasadikiwa alikuwa anatua nje ya muda yaani baada ya uwanja kufungwa.
Goodbye Maule......sikujua kama utaishia hivi.....you were scary tho.......
We grew up fearing this guy. Akikatisha kitaa dingi anataka kulala na ford escort yake chumbani. Kila refu lina ncha.
Urubani unahitaji proffessional judgement ambayo iko based on scientific pyhsical data.
Sasa kwa hako kandege kwa vyovyote uendeshaji wake uko based on visual accommodation of pysical data ukilinganisha na ndege ambazo ni fly-by-wire, ambazo ni Computerised Insrument based.
Sasaanaamua kutua kwenye kiwanja BAADA hata ya wasaidizi wa hali ya hewa na Air Traffic Contollers, ambao baada ya saa 12 walikuwa wameondoka , na kiwanja ni giza!
Inahitaji aidha uwe genius au usiyeeleweka kuenda against misingi hiyo ya kuruka.
Hata hivyo watu wenye pesa nyingi wanajikuta katika matatizo ya kujikweza uwezo wao kibinadamu wakati bado ni watu wenye uwezo wa kawaida.
RIP Bw. Sembeke, lakini ungefuata taratibu za urukaji kama zilivyo ainishwa kwenye flight manuals , bado unekuwa hai leo ukimsifu Mungu!
Urubani unahitaji proffessional judgement ambayo iko based on scientific pyhsical data.
Sasa kwa hako kandege kwa vyovyote uendeshaji wake uko based on visual accommodation of pysical data ukilinganisha na ndege ambazo ni fly-by-wire, ambazo ni Computerised Insrument based.
Sasaanaamua kutua kwenye kiwanja BAADA hata ya wasaidizi wa hali ya hewa na Air Traffic Contollers, ambao baada ya saa 12 walikuwa wameondoka , na kiwanja ni giza!
Inahitaji aidha uwe genius au usiyeeleweka kuenda against misingi hiyo ya kuruka.
Hata hivyo watu wenye pesa nyingi wanajikuta katika matatizo ya kujikweza uwezo wao kibinadamu wakati bado ni watu wenye uwezo wa kawaida.
RIP Bw. Sembeke, lakini ungefuata taratibu za urukaji kama zilivyo ainishwa kwenye flight manuals , bado unekuwa hai leo ukimsifu Mungu!