Picha: Mabaki ya Ndege iliyomuua Bob Sambeke.

Picha: Mabaki ya Ndege iliyomuua Bob Sambeke.

King'asti hujambo? Mliishi Moshi sehemu gani? Na kwa nini aliogopewa? Nilisoma darasa moja na huyu Babu sambeke wkati huo akiitwa ERNEST MALLYA pale Kibo Secondary miaka ya 1978-1982 huenda ulikuwa hujazaliwa.

Tulijifunza wote kutengeneza magari tukisubiri majibu gereji ya John Jeep sijui kama bado yupo. nadhani walikuwa wanakaa karibu na maili 6 opposite Gereza la karanga. Alikuwa kijana wa goodtime sana na enzi hizo alikuwa na baiskeli kali sana. Baba yake alikuwa na Peugeot 504, wakati huo hizo ndo gari kali pamoja na Benzi.

RIP ERNEST MALLYA!

huyu mtu alikuwa harari sana alimiliki club fulan pale moshi mjini ilikuwa kwanza ukiingia wote unakutana nao huko ndani ni balaa!

ila utasia watu wakisema ni mtu wa watu alipenda watu kumbe hana lolote
 
unaeza kuruka vfr usiku sio tatizo isipokuwa uwanja uwanja utakaotuwa lazima uwe na taa
inaniwia vigumu sana kujua kwanini mtu ajaribu kuruka "VFR" usiku?
Hatakama ndege ina istrument requiremts by night bado unahitaji runway lights.

dahhh hata uwe genius..
hii ni ngumu sana kutimiza .
maybe he was attempting to make a Force landing in the paddock. Who knows?

Apumzike kwa amani.
 
Sijui kalikuwa ni two-seater?? Maana kweli ni scary...
 
Kuna mtu aliuliza Bob Sameke ni nani? Naomba mwenye taarifa kamili za mtu huyu atujuze. Mimi najua ni mchaga fulani mwenye vijisenti Moshi na anamiliki ndege siji ndo hiyo aliyopata nayo ajali? Tunaomba data zaidi. Na Jhiyo ajali imetokea lini ?
 
huyu mtu alikuwa harari sana alimiliki club fulan pale moshi mjini ilikuwa kwanza ukiingia wote unakutana nao huko ndani ni balaa!

ila utasia watu wakisema ni mtu wa watu alipenda watu kumbe hana lolote

Hii siri yako mbona unawatangazia watu gfsonwin?
 
Last edited by a moderator:
huyu mtu alikuwa harari sana alimiliki club fulan pale moshi mjini ilikuwa kwanza ukiingia wote unakutana nao huko ndani ni balaa!

ila utasia watu wakisema ni mtu wa watu alipenda watu kumbe hana lolote

Duh; alikuwa anamiliki club gani na inaitwaje? Na hao watu uliokuwa unakutana nao ukiingia walikuwa ni "balaa" kwa nini?

Kuna ambaye anafahamu kwa hakika biashara alizokuwa akifanya ni zipi ukiacha ndege alizokuwanazo?
 
ila utasia watu wakisema ni mtu wa watu alipenda watu kumbe hana lolote

Umewahi kusoma hadithi za Biblia? Kuwa hata YESU alipendwa na wengi na hata alipokuwa anaingia Yerusalemu walimlaki kwa nderemo na vifijo lakini siku chache baadaye makampigilia misumali.

Uko upande gani? Mwaga data kussuport upande wowote unaousimamia! Au kwa kuwa hupewi Chauro tena?
 
Baadae uchunguzi ukifanywa kimataifa unaweza kusikia kandege kenyewe kalimaliza muda wake wa ku-fly
 
sikuisoma kwa kweli
umetowa lakini hapo sijakufahamu
hapa Tanzania tunapenda short cut kwa vitu vingi mojawapo ni ajali kama hii rubani unajuwa kuwa uwanja unafungwa saa kuminambili wewe unaenda kujaribu kutuwa baada ya kiza kimeingia nafikiri alikuwa anajaribu kutuwa kwa uzoefu tu sio kiutaratibu
mimi kwa upande wangu litakuwa tatizo la rubani sio ndege.

samahani kwa kukukwaza kwa e mail iliyopita
sentensi yangu ya kwanza na ya pili umesoma vizuri kweli ?

asante kwa jibu lakini.
 
jamani poleni kwa ajali. Mbona mimi naiona hiyo ndege kama vile ilikuwa mkweche? Ama vipi wenzangu.
 
Ah kandege kenyewe mbona kama bati za vox? Bora mi sina. Bob, upate stahiki yako huko uliko
 
Ah kandege kenyewe mbona kama bati za vox? Bora mi sina. Bob, upate stahiki yako huko uliko
 
Back
Top Bottom