Namshukuru Mungu mmemaliza salama,ni jambo la msingi sana kuwaelimisha watu wakaelewa nini kinachosababisha na kuchangia umasikini wakati nchi yetu ni ni nchi ya ahadi yenye maziwa na asali lakini wachache ambao ni sawa na mbwa aliyefungiwa nyama shingoni apeleke nyumbani siku itawadia tutawatoa WAKOLONI WAZAWA WEUSI:A S 112:
Mh. Regia.
Huku naona ni kutubania wengine ambao hatukuweza kuhudhuria hayo maandamano. CHADEMA as chama kweli hakina mtunza kumbukumbu? Mnatakiwa kuwa na mtunza kumbukumbu za chama aidha wa kuajiriwa au kujitolea especially kwenye matukio muhimu kama haya.
Maandamano haya ni muhimu sana katika historia ya vizazi vijavyo, matukio katika harakati za ukombozi v2.0 ni muhimu kwa Taifa. Tusitegemee waandhi wa habari peke yake.
Aluta Kontinua.
Dada Regia kwanza pongezi kwa kutujulisha yanayojiri.
Ngome kuu ya CCM ipo kanda ya Ziwa na Nyanda za juu Kusini. Kanda zingine zinabaki kuwa 50/50 au zingine hazieleweki kabisa hasa ukanda wa Pwani. Nashauri plan of action CDM kuelekeza nguvu za ziada katika kuiteka kanda ya Ziwa na Nyanda za Juu Kusini. Tukiweza kujiamarisha katika kanda hizi sioni CCM watatokea wapi. Manyara, Arusha na Moshi sina wasiwasi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.