KWANIN CHADEMA HAIKUBALIKI DAR ES SALAAAAAm?
Nijuavyo, Zitto ana semina ya Kamati ya Fedha za Mashirika ya Umma zinaendeshwa na Ofisi ya CAG. Mnyika yuko kwenye kamati ya Nishati na Madini
Miruko haya ndiyo majibu sahihi ila unafikiri hawajui basi tu wanataka kuleta co motion zao na mimi huwa nawajibu kulingana na mawazo yao.
Mwalimu JKN alisema " ...DHAMBI YA UBAGUZI NI MBAYA SANA..." Kwanini JF tuanze kubaguana? shiiit!
Tusichangie utumbo wao,mtapoteza ladha ya yanayojiri kwenye maandamano.
keli kaka kuna mamluki kibao humu ndani ......tuwapotezeee wanachafua hali ya hea bure
shukrani pj.
Unajua unapokuwa mshiriki siorahisi kupata picha nzuri.ninazo picha kwenye simu yangu lakini hazina ubora wa kurusha hapa.tupo na waandishi wa habari na wadau wengine naamini watazirusha kama walivyofanya.
Tupo pamoja.
kwa nini kwa sasa msingetoa elimu ya mapungufu ya katiba, badala ya kuendelea na dowans kila kukicha?
Ndo tunaingia uwanja wa Mkendo, nitaendelea kuwapa updates wakuu