Ole
JF-Expert Member
- Dec 16, 2006
- 2,157
- 979
REGIA,
Mimi nadhani uongee na akina Mnyika/Halima/Slaa/Mbowe/Kiwelu/Wenje n.k kuhusu Jambo lifuatalo.
Siamini kuwa Chadema kama chama hakina idara ya mawasiliano ya jamii. Hivi inakuwaje watu wanaomba picha kutoka katika mikutano yenu? Ninyi mnapaswa kuleta picha na si watu waombe.
Hii ilikuwa kazi ya idara ya mass communication and mobilization. Msafara wa viongozi wa juu Chadema hauna mpiga picha!! Nina hakika kama mngetangaza nafasi ya mtu kujitolea katika umati tunaouona wangejitolea watu zaidi 100. Hata kwa malipo mgempatia kijana transport na pesa za kumwezesha isingefikia mahali watu wategemee picha za simu.
Ushauri: kila mkoa uwe na mpiga picha rasmi wa Chama, awe tayari kwa mambo kama haya, chama kimuwezeshe! Please Chadema deserves better than this!
Big up mkuu nafikiri lazima aajiriwe mpiga picha wa Chadema (Team ambayo inajihusisha na media in general) Huu ndio wakati wa kujenga nguzo kuu ile pesa ya ruzuku ya kila mwezi ni pamoja na kazi za chama wacheni kulala.