Shukrani PJ.
Unajua unapokuwa mshiriki siorahisi kupata picha nzuri.Ninazo picha kwenye simu yangu lakini hazina ubora wa kurusha hapa.Tupo na waandishi wa habari na wadau wengine naamini watazirusha kama walivyofanya.
Tupo pamoja.
Wenje:
Mimi ni mtoto wa muuza vitumbua Shirati.
Kufa kwa kiwanda cha Mwatex (Mutex?) kumesababisha kuwa na machinga wengi.
Anamalizia kwa kumwambia JK 'uvumilivu una mwisho'
<br />Wenje:<br />
<br />
Mimi ni mtoto wa muuza vitumbua Shirati.<br />
<br />
Kufa kwa kiwanda cha Mwatex (Mutex?) kumesababisha kuwa na machinga wengi.<br />
<br />
Anamalizia kwa kumwambia JK 'uvumilivu una mwisho'
Wakuu Salaam!!!
Yale maandamano ya Kanda ya Ziwa leo yanahamia Mkoa wa Mara baada ya jana kuingia Geita, Sengerema, Misungwi, Kwimba na Ukerewe. Maandamano yatakuwa Musoma kuanzia Viwanja vya Bweri mpaka Uwanja Mkendo Musoma Mjini. Msafara wa Vikosi toka Mwanza mjini unatarajiwa kupokelewa na Mbunge wa Musoma Mijini Vincent Nyerere.
Dalili zinaonesha kuwa na leo CHADEMA itaiteka Musoma kwa jinsi ambavyo watu wamejipanga na kujiandaa kwa hamu maandamano haya. Maandamano yanatarajiwa kuanza saa 7 mchana.
Aluta Continua.
Kutoka Kitangiri Mwanza
Regia E Mtema
Waziri Kivuli-Kazi na Ajira
Vincent kasema atahakikisha mafisadi wanaikimbia Musoma.
Mama Slaa kasalimia, kisha kampisha Dr. Slaa kuongea, anasema ataongea kidogo kwa kuwa muda ni tight ili Mbowe aongee.
Slaa kawashukuru wananchi wa Musoma kwa kumpigia kura na wabunge & madiwani wa CDM