Hili imeanza kuwa nzuri kwa upande wa CCM baada ya Jemedali Luteni Edward Lowasa kutua
arumeru, kweli nimeamini Lowasa ananguvu mitaa yote ya Arumeru walikuwa wanamshangilia
yeye Picha nyingine zitafuata
![]()
![]()
CDM kazi mnayo....tafuteni cha kufanya, achaneni na siasa!!!kwi kwi kwi ukilinganisha na hapa ni aibu
![]()
Mpaka kufika terehe 01/04/2012 mapovu yatakuwa yamewatoka
Kuhusu tatizo la umeme kasema analeta kampuni gani tena? Na mvua ya kutengeneza kampata mganga? Alishindwa kuyatatua matatizo hayo mda wote akiwa mbunge wa jimbo mkoani humo na hata akiwa waziri wa maji ha hata ardhi, bado hata akiwa waziri mkuu, sasa iweje mtoboa sikio ndo aweze kuyatatua matatizo hayo? Anajimaliza sasa.
Mpaka kufika terehe 01/04/2012 mapovu yatakuwa yamewatoka
jamani acheni watoto wetu wasome!kila siku mnawaswaga kwenye mikutano?!
Halafu vijana mnadai ati mageuzi yataletwa na vijana?..
CDM kazi mnayo....tafuteni cha kufanya, achaneni na siasa!!!
Unajivunia wingi wa watoto wa shule watoto wetu wanapigwa na jua kwa manufaa ya wanasihasa
Mbona naona wanamshangaa badala ya kumshangilia?
Piki piki 100 x1000 = 100,000
Cheap popularity!
Nina wasiwasi na authenticity ya hii picha, kwani ukiacha hawa watu wawili wanaoonekana kwa dhati wamevaa kiccm wengine wanaonekana kama vile wananyoosha mikono kuashiria alama ya Chadema "Vema".
Lakini pia nimejaribu kuiangalia kwa karibu sana haionyeshi uhalisia, nina wasiwasi hapa kimefanyika kitu cha "photoshop", kwani hata kama lowa-hasa ameingia arumeru na msafara wa malori na mabasi yaliyojaa wapambe, sidhani kama hii picha inaonyesha uhalisia. Yote kwa yote ngoma ni jumapili-kidile mwali kuwekwa hadharani!!