CCM ikishindwa sijui itakuwaje?
utabaki na hilo hilo...sisi twasonga mbele....Hiyo signature yako tu ni jibu tosha. Unawa confuse ulioshindwa kuwa convince.
Maandamano yepi hayo mkuu na wewe umekuwa mtu wa mipasho????? Hata hivyo pamoja na sheria uchwala za CCM yako, maandamano ni haki ya raia na polisi kazi zake nikuwalinda waandamanaji!!!! Watu wakidai haki, wapeni mkigoma mambo ya Libya yanawasubiri!!!!tumechoka na maandamano ya kila siku watu wa Arusha.
Yakiwekwa mawe makubwa barabarani yatarukaje??????? Waulize jamaa wa Mwanza!!! Chunga Mkuu msije shuka huko bila magari, hiyo ni Meru sio Igunga!!!!kwa wale wapenda fujo kuna zawadi yenu hapa , zipo zimeletwa 28
Kwani amesema nani katukana?
Nasikia Rostam alikodisha watu wa kumlilia ! Pesa bana !
Laigwanan ana pesa ya ku-stage any show he wants kwa pesa walizozipata kifisadi
utabaki na hilo hilo...sisi twasonga mbele....
Watu wa kichina yaan kila kitu cha kichina unafiri wanadanganyika?amezungumzia maji aliyopeleka monduli?
Mkuu naona umechanganyikiwa Mheshimiwa Godbless Lema ni mbunge wa Arusha mjini wala si papa wa Vatcany City!!!!!Uwezekano wa CDM kushinda ktk uchaguzi huu wa Arumeru ni sawa na uwezekano wa Mhe Godbless Lema kuwa Papa Mtakatifu.
Mungu wabariki wana Arumeru East, CDM na Tanganyika kwa ujumla, jimbo ni la wazalendo, PEOPLE!
Hili imeanza kuwa nzuri kwa upande wa CCM baada ya Jemedali Luteni Edward Lowasa kutua
arumeru, kweli nimeamini Lowasa ananguvu mitaa yote ya Arumeru walikuwa wanamshangilia
yeye Picha nyingine zitafuata