Kachanchabuseta
JF-Expert Member
- Mar 8, 2010
- 7,263
- 685
Sina shaka CDM watashinda Kwa kuwa watu wengi wamefanya hivi 😛eace:
Mpaka kufika terehe 01/04/2012 mapovu yatakuwa yamewatoka
Sina shaka CDM watashinda Kwa kuwa watu wengi wamefanya hivi 😛eace:
kwa wale wapenda fujo kuna zawadi yenu hapa , zipo zimeletwa 28
![]()
lowassa ndo mdudu gani
watoto wako huku:
View attachment 50530
na huku;
View attachment 50531
hapa afadhali...
View attachment 50532
watoto walipoondoka....nassari kabaki solemba.
View attachment 50533
cdm mmekwiiishaaa. Imekula kwenu tena arumeru.
Haisaidii sana kutumia picha za zamani!!Hili imeanza kuwa nzuri kwa upande wa CCM baada ya Jemedali Luteni Edward Lowasa kutua
arumeru, kweli nimeamini Lowasa ananguvu mitaa yote ya Arumeru walikuwa wanamshangilia
yeye Picha nyingine zitafuata
![]()
![]()
hili imeanza kuwa nzuri kwa upande wa ccm baada ya jemedali luteni edward lowasa kutua
arumeru, kweli nimeamini lowasa ananguvu mitaa yote ya arumeru walikuwa wanamshangilia
yeye picha nyingine zitafuata
![]()
![]()
Mpaka kufika terehe 01/04/2012 mapovu yatakuwa yamewatoka
siyo mdudu, ni rais wako ajaye, 2015.
Hili imeanza kuwa nzuri kwa upande wa CCM baada ya Jemedali Luteni Edward Lowasa kutua
arumeru, kweli nimeamini Lowasa ananguvu mitaa yote ya Arumeru walikuwa wanamshangilia
yeye Picha nyingine zitafuata
![]()
![]()
Uchaguzi mdogo Arumeru Mashariki umemalizika rasmi leo.
inaonekana we huijui jiografia ya ARUSHA so kaa kimya, mtu anaweza akatoka moshi akaenda arusha na akazungukia maeneo yote tajwa hapo asimalize hata masaa matatu!
Hili imeanza kuwa nzuri kwa upande wa CCM baada ya Jemedali Luteni Edward Lowasa kutua
arumeru, kweli nimeamini Lowasa ananguvu mitaa yote ya Arumeru walikuwa wanamshangilia
yeye Picha nyingine zitafuata
![]()
![]()