Hata mimi mkuu,Nilikuwa sijui kama Lowassa nae ni Comrade / Kamanda!
Wenye taarifa tupeni, tujuzuzeni Kama kamanda wetu yupo ndani ya meru?
Huyo ni mbipi,akipanda jukwaani leo hata kura 2000 za sioi zitapungua.LEMA anamsubiri kwa hamu
Ng'ombe hanenepi siku ya mnada.
View attachment 50517
Mwendo wa Ushindi.....
Mkuu, we umefika Arusha na mafuriko ya uchaguzi wa Arumeru!safi sana mkuu endelea kutupa taarifa .
mashambulizi ya mwisho...ushindi DAIMA