Noti mpya tz
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 974
- 247
Title na Contents haziendani, lowasa atua armr cdm waparanganyika halafu unataka upewe tarifa, What a ****.
Siku Edward Lowassa Alipozindua Kampeni Zake rasmi Mto wa Mbu
Written by haki | // 0 comments
Mgombea ubunge wa jimbo la Monduli kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi CCM Mheshimiwa Edward Lowassa akiingia katika mji mdogo wa Mto wa Mbu jimboni Monduli kuanza mkutano wa kuzindua kampeni zake rasmi hivi karibuni.
Source:H@ki Ngowi: Siku Edward Lowassa Alipozindua Kampeni Zake rasmi Mto wa Mbu
Edward Ngoyai Lawasa, Rais wa Jamhuri ya Tanzania...Awamu ya Tano. Mbona naona kama tune haijakaa vizuri sana...? duh, ngoja tuone.:scared:
Unajua thamani ya hiyo gari ni madawati mangapi? au dispensari ndogo ngapi vijijini? Watu wenye akili wanapima serikali yao kwa vipaumbele. Kweli mtoto wa Kitanzania anakaa chini kwenye vumbi darasani toka std 1 to 7 halafu serikali inatumia mamilioni kununua magari ya majiwasha ili kudhibiti demokrasia? kama hicho ni kipaumbele chake basi haifai hata kidogo kuwepo madarakani. Inapaswa kuondolewa kwa namna yeyote ile.kwa wale wapenda fujo kuna zawadi yenu hapa , zipo zimeletwa 28
![]()
Mkubwa umeonesha ulivyo na mahaba makubwa na magamba, Kwa CDM unapiga picha ya mtu anyehutubia unaacha hadhira. Kuwa fair, huyu unamwona anongea peke yake mwaka 2010 alikuwa na kura zaidi ya 19000, utashangaa tar 1/4.Watoto wako huku:
View attachment 50530
na huku;
View attachment 50531
Hapa afadhali...
View attachment 50532
Watoto walipoondoka....Nassari kabaki solemba.
View attachment 50533
CDM mmekwiiishaaa. IMEKULA KWENU TENA ARUMERU.
Unaona sasa!!?? kumbe picha zenyewe za kampeni za uchaguzi mkuu 2010, tena mto wa mbu?
Kweli ccm wamekwisha, hadi picha wanachakachua? sasa kwa faida ya nani?
CDM kazi mnayo....tafuteni cha kufanya, achaneni na siasa!!!
Unaona sasa!!?? kumbe picha zenyewe za kampeni za uchaguzi mkuu 2010, tena mto wa mbu?
Kweli ccm wamekwisha, hadi picha wanachakachua? sasa kwa faida ya nani?
Open picha hii hapa kuona kinachoendelea arumeru
gaddafi alikuwa na za kisasa kuliko hizi, lakini aliishia kujificha kwenye calavat!
Sasa wewe maji ya mtungi hata aliko kamanda wako hujui ila heading yako unasema katua kwa kishindo pili unasema cdm imeparaganyika wakati unaomba kujuzwa aliko kamanda wako, ok tuyaache hayo kumbe huko nako kuna makamanda? Hongereni kwa hilo ila kwa tathmini ya kitaalamu huyo kamanda atawapunguzia kura badala ya kuziongeza.Wenye taarifa tupeni, tujuzuzeni Kama kamanda wetu yupo ndani ya meru?
Unaona sasa!!?? kumbe picha zenyewe za kampeni za uchaguzi mkuu 2010, tena mto wa mbu?
Kweli ccm wamekwisha, hadi picha wanachakachua? sasa kwa faida ya nani?
Acha kunichekesha...KIA na Usariver kuna umbali gani?? Unajua natumia means gani?
Open picha hii hapa kuona kinachoendelea arumeru