(PICHA) Lowassa atua Arumeru kwa kishindo: Chadema waparaganyika

(PICHA) Lowassa atua Arumeru kwa kishindo: Chadema waparaganyika

I hate el . RIP SISIEM
lowassa aja arumeru na kupokelewa na pikipiki zaidi ya 100, magari zaidi ya 50, mabus na malorry.. watu wanashangilia na kupiga kelele kama lowassa ndo mgombea,huku arumeru hakutoshi, barabara zimefungwa, ameingia kwa aina yake.

lowassa ameingia jukwaani na kukishukuru chama, viongozi wa chama, wabunge, na wananchi woote kwa nafasi aliyopewa. akasema amekuja kumnadi sioi na sio kutoa matusi.

akawakumbusha wameru historia ya jafet aliyepigania arumeru mpaka UN miaka ya 52-54 na kuja kushinda ardhi yao, pamoja na kuingia kwenye chama cha Tanu ambacho sasa ndio ccm na akasisitizia hakuna mtu anaweza kuwadanganya leo wala kubadilisha mawazo yao juu ya ccm kwa walipigania uhuru pamoja.

akaongelea kero za ardhi kwa arumeru na kuwaambia wananchi kuwa 'sasa tatizo la ardhi arumeru limekwisha kama ukimchangua sioi sumari na kwamba rais wetu kikwete ametoa eka 5000 za wananchi kurudishiwa ardhi zao arumeru' na vile vile kusisitizia kuwa wabunge wote wanaomuuunga leo mkono baada ya sioi kuapishwa, atasimamia na kusaidiwa kulimaliza swala la ardhi pamoja na maji. aelezea chanzo cha maji cha arumeru na inavyotumika mpaka monduli.

watalii wamepunguza safari za kuja arusha kutokana na maandamano na ugomvi kila siku, ndizi hazipandi bei kutokana na maandamano ya arusha mjini, upinzani wamekua watu wa fujo badala ya utendaji kazi,na wakipigiwa kura utaenezwa hadi arumeru, wamearibu na kuivunjia heshima mkoa wa arusha na hotel nyingi zinashindwa kuendeshwa kutokana na fujo.

amemaliza sasa ivi na kuondoka, natafuta wapiga picha watume picha..

watu wamemshangilia sana sana, wakina mama wanamlilia kumshika mkono na kumbusu, wengi wanashangilia wakisema 'lowassa ndio mkombozi wetu'

sasa ivi msafara wa sioi unaelekea sehemu nyingine kuendelea na mkapa.

nawakilisha... more updates to come..yoyote mwenye picha asaidie
 
tumechoka na maandamano ya kila siku watu wa Arusha.
 
Kuhusu tatizo la umeme kasema analeta kampuni gani tena? Na mvua ya kutengeneza kampata mganga? Alishindwa kuyatatua matatizo hayo mda wote akiwa mbunge wa jimbo mkoani humo na hata akiwa waziri wa maji ha hata ardhi, bado hata akiwa waziri mkuu, sasa iweje mtoboa sikio ndo aweze kuyatatua matatizo hayo? Anajimaliza sasa.
 
lowassa aja arumeru na kupokelewa na pikipiki zaidi ya 100, magari zaidi ya 50, mabus na malorry.. watu wanashangilia na kupiga kelele kama lowassa ndo mgombea,huku arumeru hakutoshi, barabara zimefungwa, ameingia kwa aina yake.

lowassa ameingia jukwaani na kukishukuru chama, viongozi wa chama, wabunge, na wananchi woote kwa nafasi aliyopewa. akasema amekuja kumnadi sioi na sio kutoa matusi.

akawakumbusha wameru historia ya jafet aliyepigania arumeru mpaka UN miaka ya 52-54 na kuja kushinda ardhi yao, pamoja na kuingia kwenye chama cha Tanu ambacho sasa ndio ccm na akasisitizia hakuna mtu anaweza kuwadanganya leo wala kubadilisha mawazo yao juu ya ccm kwa walipigania uhuru pamoja.

akaongelea kero za ardhi kwa arumeru na kuwaambia wananchi kuwa 'sasa tatizo la ardhi arumeru limekwisha kama ukimchangua sioi sumari na kwamba rais wetu kikwete ametoa eka 5000 za wananchi kurudishiwa ardhi zao arumeru' na vile vile kusisitizia kuwa wabunge wote wanaomuuunga leo mkono baada ya sioi kuapishwa, atasimamia na kusaidiwa kulimaliza swala la ardhi pamoja na maji. aelezea chanzo cha maji cha arumeru na inavyotumika mpaka monduli.

watalii wamepunguza safari za kuja arusha kutokana na maandamano na ugomvi kila siku, ndizi hazipandi bei kutokana na maandamano ya arusha mjini, upinzani wamekua watu wa fujo badala ya utendaji kazi,na wakipigiwa kura utaenezwa hadi arumeru, wamearibu na kuivunjia heshima mkoa wa arusha na hotel nyingi zinashindwa kuendeshwa kutokana na fujo.

amemaliza sasa ivi na kuondoka, natafuta wapiga picha watume picha..

watu wamemshangilia sana sana, wakina mama wanamlilia kumshika mkono na kumbusu, wengi wanashangilia wakisema 'lowassa ndio mkombozi wetu'

sasa ivi msafara wa sioi unaelekea sehemu nyingine kuendelea na mkapa.

nawakilisha... more updates to come..yoyote mwenye picha asaidie

db1166-pumpkin-puke.jpg
 
PakaJimmy, na wenzake wameanzisha thread yao wanajifariji na kujiliwaza kuwa wanaomuonea huruma Lowassa kapata watu kumi kwenye mkutano wake, nimecheka.
 
Nimetembea kuanzia KIA, Kikatiti, Maji ya Chai na Usariver! kote huku hawataki kabisa kuiskia CDM!

Hiyo signature yako tu ni jibu tosha. Unawa confuse ulioshindwa kuwa convince.
 
sasa ivi msafara wa sioi unaelekea sehemu nyingine kuendelea na mkapa.

nawakilisha... more updates to come..yoyote mwenye picha asaidie

we kweli chizi unakuja kutupa habari halafu unataka sisi tukupe picha, CHIZI ONE BWANA!
 
lowassa aja arumeru na kupokelewa na pikipiki zaidi ya 100, magari zaidi ya 50, mabus na malorry.. watu wanashangilia na kupiga kelele kama lowassa ndo mgombea,huku arumeru hakutoshi, barabara zimefungwa, ameingia kwa aina yake.

lowassa ameingia jukwaani na kukishukuru chama, viongozi wa chama, wabunge, na wananchi woote kwa nafasi aliyopewa. akasema amekuja kumnadi sioi na sio kutoa matusi.

akawakumbusha wameru historia ya jafet aliyepigania arumeru mpaka UN miaka ya 52-54 na kuja kushinda ardhi yao, pamoja na kuingia kwenye chama cha Tanu ambacho sasa ndio ccm na akasisitizia hakuna mtu anaweza kuwadanganya leo wala kubadilisha mawazo yao juu ya ccm kwa walipigania uhuru pamoja.

akaongelea kero za ardhi kwa arumeru na kuwaambia wananchi kuwa 'sasa tatizo la ardhi arumeru limekwisha kama ukimchangua sioi sumari na kwamba rais wetu kikwete ametoa eka 5000 za wananchi kurudishiwa ardhi zao arumeru' na vile vile kusisitizia kuwa wabunge wote wanaomuuunga leo mkono baada ya sioi kuapishwa, atasimamia na kusaidiwa kulimaliza swala la ardhi pamoja na maji. aelezea chanzo cha maji cha arumeru na inavyotumika mpaka monduli.

watalii wamepunguza safari za kuja arusha kutokana na maandamano na ugomvi kila siku, ndizi hazipandi bei kutokana na maandamano ya arusha mjini, upinzani wamekua watu wa fujo badala ya utendaji kazi,na wakipigiwa kura utaenezwa hadi arumeru, wamearibu na kuivunjia heshima mkoa wa arusha na hotel nyingi zinashindwa kuendeshwa kutokana na fujo.

amemaliza sasa ivi na kuondoka, natafuta wapiga picha watume picha..

watu wamemshangilia sana sana, wakina mama wanamlilia kumshika mkono na kumbusu, wengi wanashangilia wakisema 'lowassa ndio mkombozi wetu'

sasa ivi msafara wa sioi unaelekea sehemu nyingine kuendelea na mkapa.

nawakilisha... more updates to come..yoyote mwenye picha asaidie

CCM ikishindwa sijui itakuwaje?
 
Uchaguzi mdogo Arumeru Mashariki umemalizika rasmi leo.
 
Nasikia Rostam alikodisha watu wa kumlilia ! Pesa bana !
 
lowassa aja arumeru na kupokelewa na pikipiki zaidi ya 100, magari zaidi ya 50, mabus na malorry.. watu wanashangilia na kupiga kelele kama lowassa ndo mgombea,huku arumeru hakutoshi, barabara zimefungwa, ameingia kwa aina yake.

lowassa ameingia jukwaani na kukishukuru chama, viongozi wa chama, wabunge, na wananchi woote kwa nafasi aliyopewa. akasema amekuja kumnadi sioi na sio kutoa matusi.

akawakumbusha wameru historia ya jafet aliyepigania arumeru mpaka UN miaka ya 52-54 na kuja kushinda ardhi yao, pamoja na kuingia kwenye chama cha Tanu ambacho sasa ndio ccm na akasisitizia hakuna mtu anaweza kuwadanganya leo wala kubadilisha mawazo yao juu ya ccm kwa walipigania uhuru pamoja.

akaongelea kero za ardhi kwa arumeru na kuwaambia wananchi kuwa 'sasa tatizo la ardhi arumeru limekwisha kama ukimchangua sioi sumari na kwamba rais wetu kikwete ametoa eka 5000 za wananchi kurudishiwa ardhi zao arumeru' na vile vile kusisitizia kuwa wabunge wote wanaomuuunga leo mkono baada ya sioi kuapishwa, atasimamia na kusaidiwa kulimaliza swala la ardhi pamoja na maji. aelezea chanzo cha maji cha arumeru na inavyotumika mpaka monduli.

watalii wamepunguza safari za kuja arusha kutokana na maandamano na ugomvi kila siku, ndizi hazipandi bei kutokana na maandamano ya arusha mjini, upinzani wamekua watu wa fujo badala ya utendaji kazi,na wakipigiwa kura utaenezwa hadi arumeru, wamearibu na kuivunjia heshima mkoa wa arusha na hotel nyingi zinashindwa kuendeshwa kutokana na fujo.

amemaliza sasa ivi na kuondoka, natafuta wapiga picha watume picha..

watu wamemshangilia sana sana, wakina mama wanamlilia kumshika mkono na kumbusu, wengi wanashangilia wakisema 'lowassa ndio mkombozi wetu'

sasa ivi msafara wa sioi unaelekea sehemu nyingine kuendelea na mkapa.

nawakilisha... more updates to come..yoyote mwenye picha asaidie

Watu wa kichina yaan kila kitu cha kichina unafiri wanadanganyika?amezungumzia maji aliyopeleka monduli?
 
Back
Top Bottom