(PICHA) Lowassa atua Arumeru kwa kishindo: Chadema waparaganyika

(PICHA) Lowassa atua Arumeru kwa kishindo: Chadema waparaganyika

Hili imeanza kuwa nzuri kwa upande wa CCM baada ya Jemedali Luteni Edward Lowasa kutua
arumeru, kweli nimeamini Lowasa ananguvu mitaa yote ya Arumeru walikuwa wanamshangilia
yeye Picha nyingine zitafuata

monduli11.JPG



03_12_v5kb2e.jpg

jamani mpendwa malaria sugu unanipa raha sana mrembo wangu,..kumbe na CCM siku hivi mnatumia alama ya V kuwapungia viongozi wenu,mbona naona watu wanatumia hiyo alama kushangilia kwenye hiyo picha ya mwisho...au ndo wale Dr.Slaa aliowaaambia wakasikilize sera za CCM
 
Hili imeanza kuwa nzuri kwa upande wa CCM baada ya Jemedali Luteni Edward Lowasa kutua
arumeru, kweli nimeamini Lowasa ananguvu mitaa yote ya Arumeru walikuwa wanamshangilia
yeye Picha nyingine zitafuata

monduli11.JPG



03_12_v5kb2e.jpg

CCM siku hizi mnasalimiana kwa alama ya vidole ya victory(V) pia?? Au macho yangu jamani?? Ila kweli Lowasa kauzu,nina uhakika kama m.kwere ndio angekuwa ni lowasa asingethubutu ununda huu,rafiki zake tu some time huwa anawakwepa,sembuse umma unaomsuta??
Please picture zaidi jama!!
 
Lema, Lowassa huyo kaishafika Arumeru, tunasubiri ahadi yako.
 
Mbona picha ni hiyohiyo tu hamna zingine. Utakuta hiyo picha ya zamani
 
Sawa, Jiulizeni Nassari alipata kura kiasi gani 2010, na Marehemu alipata ngapi, Wakiongezrka zaidi ya watu 3000 kwa Nasari, magamba kwisha, na invyoonekana wazi kabisa kura za marehem zitapungua kwa kiasi kikubwa. moja ya sababu kubwa ni mgombea na aina ya kampeni meneja alionao. mgombea anaonekana dhahiri shairi ameanza kazi za siasa mwaka huu miezi miwili iliyopita, maneno ni yaleyale kwamba anfahamu kero kila sehemu anakokewnda, akifanikiwa kipita atakuwa ni mmoja kati ya wale ambao watakuwa wapiga meza bungeni. Arumeru mashariki tumieni haki yenu vizuri siku ya tar. 1 kumpata mtu atakaye thubutu kuikemea CCM na Serikali yake kwa faida yenu.
 
kazomewa vibaya sana,kuanzia majengo ngarenaro na kupitia maeneo ya mianzini.aibu yake hatoisahau arusha.jk mwenyewe kazomewa kuliko maelezo sembuse lowasa
 
Woow...Hii imetulia saaana...

....CDM imeshakula kwenu. ....Wengi humu sijui kama watakuwa na uwezo wa kudonoa key boards zao ifikapo Jumatatu.

Ndo siasa hizo. Poleni.

Cdm imekula kwao kwani cdm ndio waathirika peke yao na mfumo mbovu wa c.c.m unaogharimu na kuongeza ugumu wa maisha kwa watanzania?au mgao wa umeme,ukosefu wa huduma za afya,ukosefu wa elimu bora kwa watoto,ukosefu wa maji na miundombinu yenye uhakika vina wa athiri cdm tu na wengne haviwaathiri?siasa si ushabiki kama wa bao au soka,siasa ni maisha mkuu
 
Sina shaka CDM watashinda Kwa kuwa watu wengi wamefanya hivi 😛eace:
 
nyie mnayemshabikia lowasa amjui mechi iliykuwa inachezwa mpaka kumuona amepanda jukwaani siyo mchezo kapambana sana ila ccm walikuwa wamekata na hao watu wote wameletwa hapo kuja kushangilia kwa hiyo msishangae kuona umati wa watu huo akuna kitu wameru awadanganyiki kabisa lowasa afai hizo ni mbio za sakafuni sikubaliani naye na wala simuhitaji katika nchi ametuumiza sana watanzania chadema pambaneni mchukue jimbo na mkeshe mkiomba ili haki yenu msije tolewa.
 
wantanzania tuna matatizo makubwa sana katika vichwa vyetu.
Mtu anakuibia, na unajua amekuibia lakini bado unaendelea kumshangilia ili apate nguvu ya kukuibia zaidi muda mfupi ujao. Tunaitaji pigwa viboko!

Nimekumbuka wimbo wa bob marley wa redemption song wenye hii verse " emancipate yourselves from mental slavery; none but ourselves can free our minds."

kuna watu ukiwaambia wanabakwa unaweza pigana naye sana si ajabu kuchukua hata silaha na kukuumiza nayo. Mkute mtu umwambie kwamba ''mwanaume mzima unanunuliwa chakula cha watoto na unanyweshwa bia na mwanamume mwenzako atakasirika sana! Anaweza hata kuchukua silaha na kukupiga'' ajabu ni pale baadhi ya watu bado wananunuliwa shnga na magamba wanaume wazima lakini hawaelewi!!! Yaani mtu unaibiwa lakini bado unampenda jambazi!!
 
Back
Top Bottom