Benaya-
JF-Expert Member
- Jul 31, 2019
- 4,417
- 7,608
Huyu Fred ni aibu tupu, akilewaga pale baa yake pendwa Kruiz mikocheni anakua farra sanaNaona Fred ameshapiga hiyo chupa zaidi ya robo tatu. Yupo vizuri
Huyu Fred ni aibu tupu, akilewaga pale baa yake pendwa Kruiz mikocheni anakua farra sanaNaona Fred ameshapiga hiyo chupa zaidi ya robo tatu. Yupo vizuri
Sijui ni wapi ila nafikiri wamejumuika pamoja kama ishara ya kuadhimisha sikukuu ya Pasaka, bila shaka hawakusherehekea kama tulivyoelekezwa na Mamlaka.
View attachment 1743440
Anamsemea Yule Salome mbatia,sina uhakika na jina la kwanza.Kwani selina alikufa kwa ajali? Au unamsemea yupi..maana Mlingwa ndo pysc bungeni
Watu walitafuta hela wazipata jiwe akapita nazo.hili ni funzo kwamba tafuta hela,wacha kusikiliza story nani kasema kipi.
mzee wa chato amelala kaburini,mkewe analipwa mpaka kifo,watoto wanatunzwa,na wana uhakika wa maisha mpaka wapate utashi.
wewe mwenzangu na mimi endelea kuhesabu wanaokufa kabla ya wengine.
Umewaza mbali sana,,lkn nimepata kujua ulichomaanisha,, vema kweli ulazima wa kupambana upo wenzetu wanasherekea wengine tunashangiliaUmasikini ni kitu kibaya sana,
Vijana tupambane.
Mpaka nashangaaWaliomtabiria mabaya yamewakuta wao na familia zao
Ramli mbaya sana
Uzi huu ni fikirishiVijana wa CHADEMA bado mna hamu naye??
Tangu lini mtumia TECNO akawa na akili?Ndo huyu huyu Chadema walimuweka kwenye list of shame na wakamtangaza kwa mbwembwe pale mnazi mmoja halafu wakafanya kuwa ndo mgombea wao wa urais na Tundu akasema Chadema wako tayari kushirikiana hata na shetani ili kuiondoa CCM madarakani.
Hao ndo Chadema ambayo mgombea wao aliamua kushirikiana na shetani kawa shoga ili kuwa rais.
Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
Huyu ndio yule walisema mgonjwa
Ni vizuri,Wazee na wenye magonjwa Sugu wajihadhari sana
Tuache hayakuhusuVijana wa CHADEMA bado mna hamu naye??
Ngoja wanyee ndoo wao safari hi... walisema kajinyea huku "mwamba" akimpigia push-ups kuithibitishia dunia alivyo "mzima" ilhali viungo muhimu vya ndani vinaendeshwa kwa codes za mabeberu! Ila Mungu, daaah; mwacheni aitwe Mungu peke yake.
Ohoooooo!!!Kwa ndani wanasherehekea mzigo ulivyoenda na maji.
Tangu lini nyumbu akawa na akili?Tangu lini mtumia TECNO akawa na akili?
Mkuu nimecheka mpaka sana sijui umewaza nn mpaka ukaona watu wenye tecno madishi yameyumbaTangu lini mtumia TECNO akawa na akili?