King’asti
Platinum Member
- Nov 26, 2009
- 27,823
- 24,786
Heeeh! Yaani wewe unalijua koromeo la huyo wakili ama umetambua kola ya shati lake? Mabigi!
Wanajamvi huyo jamaa hapo nyuma ya lisu mwenye kola nyeupe ni kaka yake wa kuzaliwa lisu anaitwa alute mughwai ndiye aliyekua wakili upande wa magamba kwenye kesi ya lema arusha mjini....