PICHA: Kwanini Tundu Lissu amelia baada ya kushinda kesi??

Sina tatizo na kulia kwa Lissu nikawaida kabisa

Natatizwa na baadhi ya memba walivyo mshambulia Pinda alipolia na sasa wanatetea kwa nguvu zote kulia kwa Lissu

Unashindwa kutofautisha mambo weye!
Kamanda Lisu analia baada ya kumaliza vita na kuibuka mshindi,tena vita ngumu kweli kweli ambayo maadui wengine huwajui!!!Pinda alilia hata kabla ya kuanza vita ya kupambana na wauaji wa albino. Mwingine amelia kwa kushinda ....machozi ya furaha! Mwingine amelia machozi ya huzuni kwa kuliogopa tatizo.
Kama huoni tofauti wewe ndo una shida na sio membaz waliomshangaa Pinda
 
Unashindwa kutofautisha mambo weye!
Kamanda Lisu analia baada ya kumaliza vita na kuibuka mshindi,tena vita ngumu kweli kweli ambayo maadui wengine huwajui!!!Pinda alilia hata kabla ya kuanza vita ya kupambana na wauaji wa albino. Mwingine amelia kwa kushinda ....machozi ya furaha! Mwingine amelia machozi ya huzuni kwa kuliogopa tatizo.
Kama huoni tofauti wewe ndo una shida na sio membaz waliomshangaa Pinda
Huu ni ukweli mtupu!!
:yo:
 
Tehe tehe teheee; chozi hili la Lissu na la Pinda lina tofauti gani?

Tofauti ni kwamba machozi ya Lisu yanatokana na emotion km wanajukwaa walivyoeleza, na ni kawaida watu wengi kulia anapopata ushindi. Machozi ya Pinda alikuwa analilia uwaziri mkuu, kama angekuwa na na uchungu kwa mauaji ya albino angelia siku aliposema wauaji wa albino wanyongwe
 
am sure jamvini hata wakina aunt bilal mashauzi wapoi tunachangia nao topic tofauti cha kilio cha pinda ni .pinda badala ya kuchukua maamuzi linalia kama toto na lisu kilio chake ni kuona haki kutoka kwa jaji sasa ndio tafauti so msimfananishe lisu na pinda.
 
ya kaizali mpe kaizali na ya mungu mpe mungu, yupo kazi zaidi but sisi tuwe kiukombozi zaidi ..
Wanajamvi huyo jamaa hapo nyuma ya lisu mwenye kola nyeupe ni kaka yake wa kuzaliwa lisu anaitwa alute mughwai ndiye aliyekua wakili upande wa magamba kwenye kesi ya lema arusha mjini....
 
hata mimi ningeli.. Hapa nilipo siku ile ya ushindi wa dogo Nassari nilimwaga machozi,siku nilipopata kadi yangu ya CHADEMA mwenyekiti wetu MBOWE alitoa hotuba iliyo nitoa machozi..
 
mimi naamini analia kwa sababu tofautitofauti ikiwemo majonzi na furaha,furaha kwa kuwa ameshinda kesi maana kwa kuwa watu tunaamini mahakama hazitendi haki kwa hiyo kwa kutendewa haki lazima ufurahie,lakini kwa upande mwingine ktk hali ya kawaida unaweza kulia kwa kuona aibu kuwa sasa daaaaah!hivi tulikuwa tunaamini kuwa mahakama hazitendi haki,sasa mimi nimetendewa haki,je nitawezaje tena kuhubiri kuwa mahakama hazitendi haki?
 
ubunge mtamu,hapo si angekosa posho za ubunge,uwakili siku hizi hakuna pesa.afadhali maana kuwa kwake bungeni kunafaida kwetu pia
 
Anajua kuwa ameshinda kwa dhuruma na ametumia ujuzi wake wa kisheria katika kupindisha sheria,
kwa hiyo yale machozi ni majuto ya nafsi kwamba anaonekana mshindi kwa njia zisizo halali.
you are such devil... Lakini nashangaa sana unatakaje? kulia kuna mara mbili huzuni ikizidi lakini furaha ikizidi pia! kumbe kushinda kwake kumekuudhie? kwa taarifa yako jaji alotokota kesi ya lema hana akili timamu! ngrrrrrrrrrrrrrr! i wish nikukamate nikutafune
 
watu kama nyie hamfai kuishi tanzania labda mwende Iraq
elimu yako nadhani haikusaidii na jamii inayokuzunguka inapata tabu sana
kulia kuna maana nyingi,mojawapo ni kupotezewa muda mahakamani kwa kesi ya kutunga
pili ana huzuni ya watanzania kudhulumiwa na wachache kama ww usie na hata chembe ya ucngungu na nchi yako
tatu amelia kwa furaha kwa kuwa anajua yu mwema machoni pa Mungu na wananchi wake anaowatumikia
Bravo Lissu Bravo wana Singida,Bravo wanachadema
Anajua kuwa ameshinda kwa dhuruma na ametumia ujuzi wake wa kisheria katika kupindisha sheria,
kwa hiyo yale machozi ni majuto ya nafsi kwamba anaonekana mshindi kwa njia zisizo halali.
 
Mi nadhani alikuwa anamsikitikia aliyefungua kesi kwa sababu amemsumbua, na pili alikuwa anamsikitikia lema kwa kuporwa ushindi wake. Lissu ni nooma makamanda.
 
Alilia kwa furaha si kulia kwa kulia. Wewe ungefanyaje hasa usawa huu ambapo mahakama zetu zimeingiliwa na ushabiki wa kisiasa tofauti na huko nyuma?
 
anawalilia waliomfungulia kesi maana analifahamu balaa watakalo lipata akigeuza kibao.! Kama Yesu alipo ulilia mji wa Yerusalemu 2.!
 
mimi naamini analia kwa sababu tofautitofauti ikiwemo majonzi na furaha,furaha kwa kuwa ameshinda kesi maana kwa kuwa watu tunaamini mahakama hazitendi haki kwa hiyo kwa kutendewa haki lazima ufurahie,lakini kwa upande mwingine ktk hali ya kawaida unaweza kulia kwa kuona aibu kuwa sasa daaaaah!hivi tulikuwa tunaamini kuwa mahakama hazitendi haki,sasa mimi nimetendewa haki,je nitawezaje tena kuhubiri kuwa mahakama hazitendi haki?

Mahakama siku zote hutenda haki bali Jaji ndio hua hatendi haki- By Hon Mbowe
 
Alilia kwa furaha si kulia kwa kulia. Wewe ungefanyaje hasa usawa huu ambapo mahakama zetu zimeingiliwa na ushabiki wa kisiasa tofauti na huko nyuma?

nawaonea huruma sana hao jamaa maana wameshindwa kesi so itabidi wamlipe TL fidia na sio chini ya 15M
 
Back
Top Bottom