Lole Gwakisa
JF-Expert Member
- Nov 5, 2008
- 4,728
- 2,259
Mbunge wa jimbo la Singida mashariki CHADEMA),Tundu Lissu,muda mfupi baada ya mahakama kuu kutupilia mbali maombi yaliyotolewa na Shaban Selema na Pascal Halu wa CCM,kupinga matokeo yaliyompa ushindi wa ubunge.
Tundu Lissu akifutwa machozi wakati wakitoka nje ya mahakama baada ya mahakama kuu kutangaza kuwa ushindi wake huo, ni halali.(PICHA NA Dewjiblog)
Ndugu,wakati wa kesi Tundu Lissu alikuwa thabiti na mwenye kujiamini, sasa baada ya kushinda kesi ndiyo anaonekana kulia.
Nini maana ya kulia huku kwa Tundu Lissu?
Kwa hisani ya Mjengwablog.
Nimeguswa na kitendo hiki cha kutoka moyoni.
I understand when a man is reduced to tears kwa kudai haki yake, it is also an expression of letting things go na kusamehe.
Hii inaonyesha kuwa the muheshimiwa was in a fix, of which he was powerless to undo.
Mimi ni mwanan CCM lakini haki ni ya kila mtu, na kwa kuweza kutetea haki yake , Tundu Lissu nampongeza.