Pinokyo Jujuman
JF-Expert Member
- Feb 5, 2012
- 552
- 104
tofauti ipo wazi mkuu..!!
Iweke uwanjani
tofauti ipo wazi mkuu..!!
Wewe unafikiri kupoteza ubunge kirahisi rahisi ni vizuri wakati hujamaliza mikopo ya watu,anajua yaliyomkuta Lema kutokana na ujeuri wake lazima alie kwa furaha sababu hajapoteza ubunge ila nae awe makini na uropokaji wake wa jazba yaweza kuja kumkuta kama ya Lema,ha ha ha ha ha ha ha wewe unafanya mchezo na ubunge lazima alie!
Ulaaniwe na kizazi chako choteAnajua kuwa ameshinda kwa dhuruma na ametumia ujuzi wake wa kisheria katika kupindisha sheria,
kwa hiyo yale machozi ni majuto ya nafsi kwamba anaonekana mshindi kwa njia zisizo halali.
Tundu Lissu angelifaa sana kuwa Rubani wa ndege ya Rais wa USA au ndege ya Abiria kama Boeng 747 kama siyo Airbus A380 yenye abiria kama 800 na kitu humo ndani.
Rubani au jemadari imara ni utamfahamu katika hali kama hii iliyopo hapo juu.
Wakati mambo yanachemka na Watanzania wengi wakiwa wameshika roho juu hadi tarehe 27/04 asubuhi, yeye aliendelea kuwa imara sana ndani ya mahakamana na wala hakutetereka. Wakati watu wengi wakiwa wameishiwa pumzi kwa kutokufahamu hukumu ya hili swala na mashambulizi yote yaliyofanyika na uongo wa kupika (tunakumbuka mara kibao mashahidi walikataa kuja mahakamani au kuchelewa) yeye aliendelea kurusha Scud kushoto na kulia.
Tundu Lissu aliendelea kujitetea mwenyewe huku akizuia mashambulizi kila kona hadi tukaona jinsi mashahidi wenyewe wanavyoanza kusema wazi kabisa "Tundu Lissu hakuhusika" au "Si rahisi kusema nani alihusika".
Mara nyingi marubani hao, huwa wakifika nyumbani na kuangalia jinsi alivyookoa watu na idadi ya watu wenyewe ilivyo, hapo ndipo hua wanaanza kulia. Siwezi kusema ni kilio cha furaha peke yake, hapana hata siku moja. Nafikiri inaweza kuwa kilio cha furaha na hasira. Unajua kama wewe uligombea safi kabisa na hukujihusisha na kashfa yeyote na umeshashinda na jitu linakuja kudai ulidanganya wakati si hulka yako, inauma sana.
Kuna baadhi ya mambo tayari yanakuwa yameshakuharibia CV yako maishani. Ni sawa na wee Mwanaume, anakuja jamaa na kukupandisha mahakamani kwa kudai unatembea na mkewe wake au umemuharibia binti yake mdogo. Hii itakuwa na wewe milele maana hata kama utashinda, bado watu wataamini kuwa wewe ni Kibaka tu kama siyo Fataki.
Mchovu wewe na mkanda wa CHADEMA!!!VIVA CHADEMA VIVA TUNDU LISU!!! Pole saana Mhe Lisu maghamba wana mbinu nyingi za kifisadi za dhuluma!!!!!Anajua kuwa ameshinda kwa dhuruma na ametumia ujuzi wake wa kisheria katika kupindisha sheria,
kwa hiyo yale machozi ni majuto ya nafsi kwamba anaonekana mshindi kwa njia zisizo halali.
Mbunge wa jimbo la Singida mashariki CHADEMA),Tundu Lissu,muda mfupi baada ya mahakama kuu kutupilia mbali maombi yaliyotolewa na Shaban Selema na Pascal Halu wa CCM,kupinga matokeo yaliyompa ushindi wa ubunge.
Tundu Lissu akifutwa machozi wakati wakitoka nje ya mahakama baada ya mahakama kuu kutangaza kuwa ushindi wake huo, ni halali.(PICHA NA Dewjiblog)
Ndugu,wakati wa kesi Tundu Lissu alikuwa thabiti na mwenye kujiamini, sasa baada ya kushinda kesi ndiyo anaonekana kulia.
Nini maana ya kulia huku kwa Tundu Lissu?
Kwa hisani ya Mjengwablog.
Hongera sana Tundu Lissu kwa kushida kesi yako nadhani Jaji kafanya kazi yake vyema kama alivyofanya Jaji kule Arusha kwenye kesi ya Lema.
Kulia kwa Tundu Lissu ukweli wa kilio chake anaujua mwenyewe ingawa kila mtu anasema lake.
Inawezekana Tundu Lissu analia kwa uchungu huku akisikitika kuwa watu walitaka kumkwamisha kuendelea kuchukuwa posho zake huku hakisubiri kiinua mgongo chake cha zaidi ya milioni 45.
Pole sana Tundu Lissu machozi ya mtu mzima unaweza kupigia deki na machozi ya mtu mzima ni dawa.
Tundu Lissu angelifaa sana kuwa Rubani wa ndege ya Rais wa USA au ndege ya Abiria kama Boeng 747 kama siyo Airbus A380 yenye abiria kama 800 na kitu humo ndani.
Rubani au jemadari imara ni utamfahamu katika hali kama hii iliyopo hapo juu.
Wakati mambo yanachemka na Watanzania wengi wakiwa wameshika roho juu hadi tarehe 27/04 asubuhi, yeye aliendelea kuwa imara sana ndani ya mahakamana na wala hakutetereka. Wakati watu wengi wakiwa wameishiwa pumzi kwa kutokufahamu hukumu ya hili swala na mashambulizi yote yaliyofanyika na uongo wa kupika (tunakumbuka mara kibao mashahidi walikataa kuja mahakamani au kuchelewa) yeye aliendelea kurusha Scud kushoto na kulia.
Tundu Lissu aliendelea kujitetea mwenyewe huku akizuia mashambulizi kila kona hadi tukaona jinsi mashahidi wenyewe wanavyoanza kusema wazi kabisa "Tundu Lissu hakuhusika" au "Si rahisi kusema nani alihusika".
Mara nyingi marubani hao, huwa wakifika nyumbani na kuangalia jinsi alivyookoa watu na idadi ya watu wenyewe ilivyo, hapo ndipo hua wanaanza kulia. Siwezi kusema ni kilio cha furaha peke yake, hapana hata siku moja. Nafikiri inaweza kuwa kilio cha furaha na hasira. Unajua kama wewe uligombea safi kabisa na hukujihusisha na kashfa yeyote na umeshashinda na jitu linakuja kudai ulidanganya wakati si hulka yako, inauma sana.
Kuna baadhi ya mambo tayari yanakuwa yameshakuharibia CV yako maishani. Ni sawa na wee Mwanaume, anakuja jamaa na kukupandisha mahakamani kwa kudai unatembea na mkewe wake au umemuharibia binti yake mdogo. Hii itakuwa na wewe milele maana hata kama utashinda, bado watu wataamini kuwa wewe ni Kibaka tu kama siyo Fataki.
Ni kawaida ya binadamu kuwa na machozi ya furaha!!!!