njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,084
- 8,663
Kamati nguli ya mapokezi ambayo kwa hii miaka 4 imeteseka kupokea wageni wa kila aina na kununua majezi feki ya kila aina leo iko stand by kujua week ijayo wanenda kumpokea nani airport.
Ila habazi za ndani ndani zinadai wanamtamani sana aje Tp mazembe kwani wao hujiona kama ni wa congo ila kwa kuwa iko nje ya uwezo wao wanawasikilizia CAf hapo saa kumi leo kujua watapangiwa mgeni gani wa kumpokea.
Kila la heri kamati ya mapokezi , Mungu awape wepesi wa kazi yenu ngumu nA ya kizalendo kabisa katika kukirimu wageni..MSISAHAU KUWAHADITHIA KUHUSU NGUVU ZA GIZA NA KUPULIZIWA SUMU VYUMBANI.
Ila habazi za ndani ndani zinadai wanamtamani sana aje Tp mazembe kwani wao hujiona kama ni wa congo ila kwa kuwa iko nje ya uwezo wao wanawasikilizia CAf hapo saa kumi leo kujua watapangiwa mgeni gani wa kumpokea.
Kila la heri kamati ya mapokezi , Mungu awape wepesi wa kazi yenu ngumu nA ya kizalendo kabisa katika kukirimu wageni..MSISAHAU KUWAHADITHIA KUHUSU NGUVU ZA GIZA NA KUPULIZIWA SUMU VYUMBANI.