Mzee Kigogo JF-Expert Member Jun 3, 2018 8,350 13,663 Sep 28, 2021 #21 Chaliifrancisco said: View attachment 1950510 Click to expand... Hizi sura zimekaa kikatili balaaa
GIRITA JF-Expert Member Jul 4, 2016 4,134 5,244 Sep 28, 2021 #22 Wanasema hata warundi wakiandamana hapo daslamu kupinga unyonyaji wa serikali yao polisi wa usa watawaunga mkono kama hao wa buza.
Wanasema hata warundi wakiandamana hapo daslamu kupinga unyonyaji wa serikali yao polisi wa usa watawaunga mkono kama hao wa buza.
Admin1988 JF-Expert Member Mar 30, 2017 1,603 1,835 Sep 28, 2021 #23 kwanini wana tusemea? MBONA WANAYO YA DAI TAYARI TUNAYO??
Mzee Kigogo JF-Expert Member Jun 3, 2018 8,350 13,663 Sep 28, 2021 #24 Chaliifrancisco said: View attachment 1950510 Click to expand... Sura za mbuzi
Moisemusajiografii JF-Expert Member Nov 3, 2013 33,946 54,220 Sep 28, 2021 #25 Tate Mkuu said: Hawa ni askari kweli, au ni mgambo tu wa jiji? Mbona askari wote wameshika virungu badala ya SMG? Click to expand... Inawezekana hao wengine ni warefu "kwerikweri" na yeye ni mrefu wastani.Picha isikupe majumuisho ya ziara ya USA.
Tate Mkuu said: Hawa ni askari kweli, au ni mgambo tu wa jiji? Mbona askari wote wameshika virungu badala ya SMG? Click to expand... Inawezekana hao wengine ni warefu "kwerikweri" na yeye ni mrefu wastani.Picha isikupe majumuisho ya ziara ya USA.