Elifuraha Bussism
JF-Expert Member
- Sep 27, 2017
- 210
- 127
Wamekuwa Carnivore eti? au Mazombi?
Kidonda utadhani aling'atwa na fisi.Jeraha la meno la dereva aliyeumwa na trafiki.View attachment 993586
Walimpima ili wajue kama ana ugonjwa wa kichaa cha mbwa ama la!Hivi yule mbwa aliyemuuma yule dereva amechukuliwa hatua,?
Polisi kila alichonacho mkononi no silaha,
Sasa ulitaka polis afanyaje Kama mtuhumiwa kagoma kutii amri?
Hongera polis kwa kumdhibiti huyu muhuni, Angefanikiwa kuwatoroka mgechekwa sana nayeye angejisifu Sanaa kwa mkewe mahawara zake na marafiki zake na angekuwa anatumia tukik Hilo kunionesha Yeye NI mwamba,
HUYO AFUNGWE MIAKA 15 Kadharirisha nembo ya Taifa
Natambua kua uwezo wa kufikiri kati ya sisi binadamu unatofautiana ila sikua naamini mwanzoni kua kuna watu wana uwezo mdogo wa kufikiri kama wewe.Polisi kila alichonacho mkononi no silaha,
Sasa ulitaka polis afanyaje Kama mtuhumiwa kagoma kutii amri?
Hongera polis kwa kumdhibiti huyu muhuni, Angefanikiwa kuwatoroka mgechekwa sana nayeye angejisifu Sanaa kwa mkewe mahawara zake na marafiki zake na angekuwa anatumia tukik Hilo kunionesha Yeye NI mwamba,
HUYO AFUNGWE MIAKA 15 Kadharirisha nembo ya Taifa
Amen!
Polisi kila alichonacho mkononi no silaha,
Sasa ulitaka polis afanyaje Kama mtuhumiwa kagoma kutii amri?
Hongera polis kwa kumdhibiti huyu muhuni, Angefanikiwa kuwatoroka mgechekwa sana nayeye angejisifu Sanaa kwa mkewe mahawara zake na marafiki zake na angekuwa anatumia tukik Hilo kunionesha Yeye NI mwamba,
HUYO AFUNGWE MIAKA 15 Kadharirisha nembo ya Taifa
Tena wanaume wa mikoani wenye mamlaka na silaha.... wanamng'ata mwanaume mwenzao.... Acha niendelee kula biriani la Magomeni kwa bi Shadya
We babu we Mungu anakuona [emoji23][emoji23][emoji23]Reasonable power ni kung'ata? Wonders shall never end
Siku hizi wanang'ata??Jeraha la meno la dereva aliyeumwa na trafiki.View attachment 993586
Kang'atwa lakini. Ningekuwa mimi ningefunguliwa criminal case!!!!
😀😀😀😀