PICHA: Jeraha la dereva aliyeng'atwa na trafiki

PICHA: Jeraha la dereva aliyeng'atwa na trafiki

Naona mzee baba askari kaamua kutumia siraha ya jadi
 
Leo wakulima mnajitetea sana. Hamumuoni mwanaume mwenzenu anatumia silaha ya meno kumdhibiti dereva?
Achana na wanaume wa mikoani mkuu, kwanza msikilize yule dereva na Kiswahili chake, yule sio wa Tandale yule, kwanza tokea lini wa Tandale atembee na PANGA Asprin, kubali tu yule sio mwanaume wa Dar
 
Achana na wanaume wa mikoani mkuu, kwanza msikilize yule dereva na Kiswahili chake, yule sio wa Tandale yule, kwanza tokea lini wa Tandale atembee na PANGA Asprin, kubali tu yule sio mwanaume wa Dar
Leo mnajitetea balaa.... hahahaa.

Vipi wale matrafiki... ni wa wapi?
 
Police ni wa hovyo kwani gari wangeliandikia faini si ilikua inatosha
 
Hapo wote wanamakosa...

Dereva anakosa la kujibu, kutokutii sheria bila shuruti... Traffic ana kosa la kujibu kwa kuudhuru jamaa kwa kumng'ata meno...


Cc: mahondaw
 
jamaa mzembe anakubalije kung'atwa ??? Alitakiwa baye ajibu mapigo maana polisi ukimuhoji kwake ni matusi
 
nchi za wenzetu tukio hili lazima askari waachishwe kazi ngoja kwanza lifike BBC swahili utasikia kitu
 
Back
Top Bottom