Troublemaker
JF-Expert Member
- Jun 8, 2015
- 19,905
- 38,560
Hapo mfalme ndiye yupi?
Huyu ndiye mfalme DP?
Hivi mwisho wa Okello ulikuaje baada ya kufurushwa Zenjibar?Wahamishie hili lipicha kqenda jamii photo, hapa kwenye Siasa bora muweke la Mkombozi na Baba wa Zanzibar
John Okello!
Hapo mfalme ndiye yupi?
Sheikh Maktoum inaelekea ni jamaa simple sana. Hata mwezi uliopita ghafla akaingia mgahawani watu wanakula basi full kuomba selfie na jamaa wala hana noma.
Mbona hapa hata wewe umejibagua tayari? Unaamini wahindi ni bora kuliko wabongo!Unaona jinsi alivyo katili kwenye hio Picha?
Hapo kawanunia wahindi,ingekua watanganyika je?
picha inatujazia server tu hapa jamvini, shabash
Ukutane nae huyo iwe bahati "mbaya" tena?Jidanganye, hakuna bahati mbaya hapo!
Pitia hapa👇Hivi mwisho wa Okello ulikuaje baada ya kufurushwa Zenjibar?
Kuna Wazambia alikutana nao njiani wanafanya shopping, akwaambia basi leo jioni tutakula wote, wakajuwa wamealikwa palace yake, kumbe kufika jioni kaja yeye akawachukuwa mgahawa wa kawaida tu akapiga nao msosi akalipa akasepa.Sheikh Maktoum inaelekea ni jamaa simple sana. Hata mwezi uliopita ghafla akaingia mgahawani watu wanakula basi full kuomba selfie na jamaa wala hana noma.
Wapi? Anune Mwarabu kwa Wahindi mie najibagua vipi?Mbona hapa hata wewe umejibagua tayari? Unaamini wahindi ni bora kuliko wabongo!
Kwani utumwa uliisha lini duniani?
Hakuna sehemu nimesema Utumwa uliisha, Zanzibar au Duniani.Kwani utumwa uliisha lini duniani?
Huyo mfalme kapindishaje kichwa enh
Sasa si umesema kua ikiwa wahindi kawanunia je kwa watanganyika itakuaje? Hapa umemaanisha kwa watanganyika atawanunia zaidi,yaani wewe mwenyewe umewapandisha wahindi kuliko race yako,Wapi? Anune Mwarabu kwa Wahindi mie najibagua vipi?
Photoshop.Huyo mfalme kapindishaje kichwa enh