Mwenezi Paul Makonda akabidhiwa fimbo ya Hayati Mwl Nyerere. Aahidi kufuata misingi ya Mwl Nyerere

Nyankurungu2020

JF-Expert Member
Oct 2, 2020
4,086
6,568
MWENEZI MAKONDA AKUTANA NA FAMILIA YA HAYATI BABA WA TAIFA MWL. NYERERE

Katibu wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi, Itikadi, Uenezi na Mafunzo Ndugu. Paul Makonda ametembelea Nyumbani kwa Hayati Baba wa Taifa Mwl. Julius Kambarage Nyerere Wilayani Butiama Mkoani Mara ambapo amesalimu na kuzungumza na Familia.

Mwenezi Makonda alifika Mkoani Mara tarehe 13 Novemba, 2013 kwa ziara ya siku moja ilitofanyika jana tarehe 14 ambapo alizungumza na Maelefu ya Wananchi wa Mkoa huo katika kutambua uhai wa Chama Cha Mapinduzi, kusikiliza na kutatua kero pamoja na kuzungumza na Wazee.


20231115_170012.jpg
 
Kwa nin asiyachape ayoo mazee hapo yanayomchekea kinafkiiiiiii....
Yaani chwaaaa,chwaaa,chwaaa
 
Tunakufa vitu vyote vinabaki, ivi nyie mafisadi kwa Nini msiweke maisha standard kwa watanzania wote , katiba mpya, na siasa safi
 
Sidhani kama kaomba apige picha na kifimbo hapo sawa ila nnachojua hicho kifimbo kipo kwenye kibox cha kioo pale makumbusho butiama hata kukigusa hawezi ataishia kukiona au labda kapewa mf: wa kile cha nyerere


Ikiwa ni kweli hiyo ni zaidi ya DHARAU
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom