John Wickzer Mulholland
JF-Expert Member
- Apr 13, 2023
- 2,545
- 5,439
Kwani hata hapa Tz ni sehemu salama?? Vitendo vya Utekaji wa watu na mauaji ya watu ambao maiti zao zilikuwa zinaokotwa kwenye viroba vilikuwa vinafanyikia wapi kwani??Israel si sehemu salama miaka na miaka tuache kwenda huko sio kila fursa ni fursa
Remember: "Even Africa is not safe for Africans."