PICHA inaongea mengi

PICHA inaongea mengi

Huu nao ni ujinga, ni mara ya kwanza viongozi wa kiislamu kuingia kanisani kwenyw ibada maalum?

Kwenye maziko ya Msuma huyo Mama hakuhudhuria ibada ya mazishi kanisani Mwanga? Vipi ibada ya mazishi ya Lowasa Luthe house hakuwepo?

Tuache ujinga ujinga, halafu hapo kwa Mwamposa hiyo ni Ministry huduma na siyo Church Kanisa.

Huduma ni kwa ajili ya watu wa dini zote wanafuata uponyonyaji, nenda leo kwa Mwamposa utawakuta waislamu kibao mpaka kutoka Comoro wanafuata uponyaji.
Nawe ni mmoja wa "wajinga", au "waumbavu"?
Mimi ninakuweka kwa hao waumbavu.
 
2025 mwaka wa uchaguzi, unamshughulisha sana SSH kuliko hata ulivyomshughulisha JPM mwaka 2015 na 2020.
"Uchaguzi gani "unamshughulisha sana SSH...". Huo wa Oktoba ambao tayari amekwisha shinda; au kuna uchaguzi gani mwingine?
Kama kuna mwingine, mwambie asijihangaishe; hana nafasi yoyote ya kushinda kura zikiigwa na kuhesabiwa kwa HAKI.
 
Hawa wasaidizi wa Mwamposa Pastor Tonny (suti rangi ya light blue anayecheka) na huyo Mpemba(mwenye suti dark blue na miwani anyetambulishwa na Bulldozer) ni watu wa System na hili limeratibiwa kuunganisha haya makanisa kuelekea Oktoba kukiwa na vuguvugu la Gwajima na baadhi ya Wachungaji/viongozi wa dini na manabii kuwa na muendelezo wa kuikosoa/kuitabiria mabaya Regime ya Samia.

Swali ninalojiuliza Mwamposa pekee itakiwa msingi wa kurudisha Imani ya Wakristo kwa Samia's Regime hasa Makanisa ya Manabii sababu Antony Lusekelo hakuficha alifunguka wazi kuna baadhi yao wanamchukia namba 1 ila ni wachache mnoo ukilinganisha na idadi ya wanao mkubali.
HUYU MAZA HATETEKI NA MUNGU KESHAKAA. HATOBOI
 
Hizo ibada zinafanyikia kwenye eneo Gwani..!?Unafaham historia ya eneo Hilo!? Au nikuache mifano Tena zidumu fikra za mwenyekiti.
Napajua pale mahali tangu mwaka 1978, naijua kawe tangu ikiwa ni mashamba ya watu.

Serikali kwa maana ya Rais ndiye mmiliki wa ardhi yote ya Tanzania kumbuka hilo.
 
"Uchaguzi gani "unamshughulisha sana SSH...". Huo wa Oktoba ambao tayari amekwisha shinda; au kuna uchaguzi gani mwingine?
Kama kuna mwingine, mwambie asijihangaishe; hana nafasi yoyote ya kushinda kura zikiigwa na kuhesabiwa kwa HAKI.
Kwako wewe ameshashindwa lakini kwa mamilioni ya watu wenye kuelewa anachokifanya, watampa kura nyingi sana.
 
Napajua pale mahali tangu mwaka 1978, naijua kawe tangu ikiwa ni mashamba ya watu.

Serikali kwa maana ya Rais ndiye mmiliki wa ardhi yote ya Tanzania kumbuka hilo.
Kwa hiyo, kwa kuzingatia uzoefu wako, je ni sahihi eneo lenye uwezo mkubwa wa maendeleo kama lile kutumika kwa shughuli za aina hiyo? Kwa nini asitafutiwe eneo jingine, ilhali Rais ndiye msimamizi mkuu wa ardhi katika nchi hii?
 
Kwa hiyo, kwa kuzingatia uzoefu wako, je ni sahihi eneo lenye uwezo mkubwa wa maendeleo kama lile kutumika kwa shughuli za aina hiyo? Kwa nini asitafutiwe eneo jingine, ilhali Rais ndiye msimamizi mkuu wa ardhi katika nchi hii?
Swali zuri lakini anayeweza kulijibu ni mamlaka za kiserikali. Waziri wa Ardhi yupo kwenye nafasi nzuri ya kulijibu kwa kirefu.
 
Kwako wewe ameshashindwa lakini kwa mamilioni ya watu wenye kuelewa anachokifanya, watampa kura nyingi sana.
Tunarudia yaleyale kama siku zote maana uelewa wako ni mgumu.
Kamwambie taratibu za uchaguzi huru zianzishwe mara moja kwa vile anao uhakika wa mamilioni **** kura yeye!
Hata huoni aibu kurudia mambo ambayo unajuwa hayao?
 
Tunarudia yaleyale kama siku zote maana uelewa wako ni mgumu.
Kamwambie taratibu za uchaguzi huru zianzishwe mara moja kwa vile anao uhakika wa mamilioni **** kura yeye!
Hata huoni aibu kurudia mambo ambayo unajuwa hayao?
Samia tunatiki October 2025.
 
Raisi samia
Binti wa KIISLAM Ametinga mazabahauni???
Ataghafir
images (31).jpeg
 
Hicho ni kikundi kilichotumia vizuri msemo wa "MJINI NJOO NA AKILI TU, PESA UTAZIKUTA"
 
Muda utaongea mkuu Kalamu.
Muda unaousubiri ni wa kuiba uchaguzi ili Samia na GENGE lenu libaki madarakani bila ridhaa ya wananchi.

Kama unataka "muda uongee", kubalini marekebisho ya kanuni za uchaguzi. Samia akichaguliwa kwa taratibu hizo, mimi nitakuwa mstari wa mbele kabisa kumongeza.
 
Back
Top Bottom