mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 93,757
- 131,919
Ushawishi uko kwa mambugila tuHuyu jamaa ana ushawishi sana,mama hakwenda pale kwa bahati mbaya..
Ova
Ushawishi uko kwa mambugila tuHuyu jamaa ana ushawishi sana,mama hakwenda pale kwa bahati mbaya..
Anapiga hela sana huyo.MWAMPOSA NI BOSS WAO WOTE HAPO KWENYE PICHA
N kweli, jamaa amebeba idadi kubwa ya wajinga wajinga ambao ndio wapiga kura wa Ccm hasa wanawake, na Samia kujua hilo ndo mana anamtumia.Huyu jamaa ana ushawishi sana,mama hakwenda pale kwa bahati mbaya..
Huyo ni mpiga debe wa CCM, kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa mwaka jana alikuwa anawaambia wafuasi wake waichague CCM. Ndiyo maana hata ile kesi ya kuua watu 50 kule Moshi Magu aliimaliza kimilaHuyu jamaa ana ushawishi sana,mama hakwenda pale kwa bahati mbaya..
Huyo anatamani kuwa Chawa na yeye apate pesa za bure!!Siku zote picha moja ni sawa na maneno 1,000 angalia Kwa makini hii na useme umegundua nini,
View attachment 3396046
Kuna yule wa kibangu nimemuona kwa mbaaliSiku zote picha moja ni sawa na maneno 1,000 angalia Kwa makini hii na useme umegundua nini,
View attachment 3396046
Kuna swahiba wangu wa siku nimemtumia hii picha ili na yeye atoe majibu yake! Si amenijibu tu kwa ufupi "Comrade Tate Mkuu, never trust a woman"Siku zote picha moja ni sawa na maneno 1,000 angalia Kwa makini hii na useme umegundua nini,
View attachment 3396046
2025 mwaka wa uchaguzi, unamshughulisha sana SSH kuliko hata ulivyomshughulisha JPM mwaka 2015 na 2020.Huyu jamaa ana ushawishi sana,mama hakwenda pale kwa bahati mbaya..
Umeme unahusiana vipi na ibada za kwa Mwamposya hapo Kawe?.Kwa ujinga huu mnaoonesha kila siku na bado mna ndoto za kuzalisha umeme wa Uranium? Acheni masihara.
Mbona kama umeuliza jibu, badala ya swali! Au na mimi nimeanza kuzeeka vibaya!Unataka Kusemaje!
Hata viongozi wetu waliofika hapo wanahusika? Au una maana gani?
Mzee wa Upako mawazo yako mbali sanaSiku zote picha moja ni sawa na maneno 1,000 angalia Kwa makini hii na useme umegundua nini,
View attachment 3396046
Umekosea hapo hua tunaandika astagafulilaiRaisi samia
Binti wa KIISLAM Ametinga mazabahauni???
Ataghafir
Kama yupo mwenye link ya hiyo habari ya Moshi naomba aiweke, naisikia sikia sana huku LafayettePesa zake kwa CCM ndizo zinazoongea, vinginevyo tukio la mauaji Moshi lingemfunga.
Ata wewe kuna ambao unawaona wana ushawishi kwako ila wengine wanawaona ni wajinga na msiojitambua.Sio kila anayefanya jambo usilokubaliana nalo hajitambui,kumbuka nayeye anakuona wewe hivyo hivyo.Kila mtu aishi anavyoona yamfaa.Ushawishi wake upo kwa wajinga tu na watu wasiojitambua
Kama hawakualikwa ulitaka wafungueje?.Rais anaenda kwakualikwa.Tumia kichwa chako vizuri.Hili ni tukio tofauti, ni ibada ya kuweka wakfu kanisa (kuzindua jengo la kanisa) nikumbushe Rais gani (asiye mshirika) aliwahi kufungua na kuweka wakfu kanisa!?
Nimemuona kwa mbaaaali ma nigga lusekelo 🤣🤣🤣🤣🤣Siku zote picha moja ni sawa na maneno 1,000 angalia Kwa makini hii na useme umegundua nini,
View attachment 3396046
Hizo ibada zinafanyikia kwenye eneo Gani..!?Unafaham historia ya eneo Hilo!? Au nikuache mifano Tena zidumu fikra za mwenyekiti.Umeme unahusiana vipi na ibada za kwa Mwamposya hapo Kawe?.