Justard zelphine
JF-Expert Member
- Apr 9, 2021
- 461
- 278
Hata mimi naona kama hili kanisa linatumika kisiasa! Kwani Yesu aliwatumikia watu kwa pesa?
Yeye alisema mpeni ya Mungu yaliyo yake na mpeni Kaisar yaliyo yake!
Yeye alisema mpeni ya Mungu yaliyo yake na mpeni Kaisar yaliyo yake!