Mwamposa anaelekea kuwa kam TB Joshua aise jamaa alijikamatia Marais wengi sana....one of the best high profit free tax businessSiku zote picha moja ni sawa na maneno 1,000 angalia Kwa makini hii na useme umegundua nini,
View attachment 3396046
Mwamposa anaelekea kuwa kam TB Joshua aise jamaa alijikamatia Marais wengi sana....one of the best high profit free tax businessSiku zote picha moja ni sawa na maneno 1,000 angalia Kwa makini hii na useme umegundua nini,
View attachment 3396046
Hutokuja kusikia Neno "watekaji kwenye kinywa cha Mwamposa" 😅😅😅Mungu Ibariki Tanzania na watu wake. Wake kwa waume na watoto 🙏🏿🙏🏿🙏🏿
Ila tusichanganye dini na siasa! 📌
View attachment 3396060
View attachment 3396061
sio wajinga, wapumbavuUshawishi wake upo kwa wajinga tu na watu wasiojitambua
Nadhani atapona ukiziwi, tuangarie....Kamkili kristo ili aendelee kutawala
Hao ndo wengi. Hili ni kosa kubwa la kiufundi linalofanywa na CHADEMA. Mnaowaita wajinga na maskini ndo wengi hupiga kura. Siku mkiacha huu upuuzi wa kudhani mna akili sana angalau mtaanza kukubalika.Ushawishi wake upo kwa wajinga tu na watu wasiojitambua
Hakika Mkuu kuna jamaa mmoja JF ni kidume Ila anajiita majina ya kike inaashiria jamii yetu imepotea Sana.Hao ndo wengi. Hili ni kosa kubwa la kiufundi linalofanywa na CHADEMA. Mnaowaita wajinga na maskini ndo wengi hupiga kura. Siku mkiacha huu upuuzi wa kudhani mna akili sana angalau mtaanza kukubalika.
Huenda uko sahihi Dr Hayawani.Hakika Mkuu kuna jamaa mmoja JF ni kidume Ila anajiita majina ya kike inaashiria jamii yetu imepotea Sana.
Samia akiwa Rais anayo maamuzi ya mwisho kuhusiana na ardhi ya JMT, Kajifunze juu ya majukumu ya nafasi ya Rais.Hizo ibada zinafanyikia kwenye eneo Gani..!?Unafaham historia ya eneo Hilo!? Au nikuache mifano Tena zidumu fikra za mwenyekiti.
Watu ni wajinga kupita kiasiNi kweli, na karibia 45% ya Watanzania ni wajinga sana na hawajitambui kwahiyo ni kweli ushawishi jamaa anao wa kiasi kikubwa tu
Sijui kwanini watanzania akili hawana,Ushawishi wake upo kwa wajinga tu na watu wasiojitambua
Wakristo baadhi ni wapumbavu sana ,yaani wanataka waislamu wafuate kile chao ..Mbowe alisali kabisa kama waislamu ,haikuwa ishu wala kutrend japo alikuwa anakosea .Huu nao ni ujinga, ni mara ya kwanza viongozi wa kiislamu kuingia kanisani kwenyw ibada maalum?
Kwenye maziko ya Msuma huyo Mama hakuhudhuria ibada ya mazishi kanisani Mwanga? Vipi ibada ya mazishi ya Lowasa Luthe house hakuwepo?
Tuache ujinga ujinga, halafu hapo kwa Mwamposa hiyo ni Ministry huduma na siyo Church Kanisa.
Huduma ni kwa ajili ya watu wa dini zote wanafuata uponyonyaji, nenda leo kwa Mwamposa utawakuta waislamu kibao mpaka kutoka Comoro wanafuata uponyaji.
Groyp la matapeliSiku zote picha moja ni sawa na maneno 1,000 angalia Kwa makini hii na useme umegundua nini,
View attachment 3396046
Huyu jamaa ana ushawishi sana,mama hakwenda pale kwa bahati mbaya..
Sasa si walewale tu?Huyu jamaa ana ushawishi sana,mama hakwenda pale kwa bahati mbaya..
Kwahiyo, maamuzi yake ya mwisho katika jambo hili ni haya, kugeuza sehemu ya kiwanda kilichokufa kuwa hema la watu kuabudia? Hiki ndicho kilele cha fikra za uongozi? Badala ya kufufua uzalishaji, tunafufua mahema ya ibada katikati ya magofu ya viwanda?Samia akiwa Rais anayo maamuzi ya mwisho kuhusiana na ardhi ya JMT, Kajifunze juu ya majukumu ya nafasi ya Rais.
Ghost protocolKuna kitu kinaitwa mission impossible ogopa sana hyo...
Sio kweli, Nimejifunza Rais Samia ni mtu wa watu.MWAMPOSA NI BOSS WAO WOTE HAPO KWENYE PICHA
Dr Janabi: haters wa Samia hatarini kujifungua kabla ya wakati.Ushawishi wake upo kwa wajinga tu na watu wasiojitambua