Ni muhimu sasa tukaambiwa kuwa makao makuu ya mkoa wa Geita yapo Chato, habari za kusema GEITA-CHATO badala ya CHATO -GEITA hatutakiPicha za Hospitali ya Rufaa ya Kanda -Chato mkoani Geita ambayo imewekwa jiwe la msingi na Rais wa Jamhuri ya Msumbiji na Mwenyekiti wa SADC Mhe. Filipe Jacinto Nyusi mara baada ya kuwasili Chato mkoani Geita leo tarehe 11 Januari 2021.