4 7mbatizaji
JF-Expert Member
- Dec 8, 2019
- 5,978
- 6,782
Bk mkuu pamoja na kua ni mkoa umeshiriki KATIKA harakati za ukombozi ila umesaulika Sana sijui ni KWA nini, lakin sio bk tu naona mikoa mingi ya mipakani umesaulika Sana, badala ya kuifanya kua fulsa KWA nchi jiraniBk mjini hata stendi ya mkoa wenye watu 3m haipo zaidi ya kichochoro Tu.
Anyway Chato sio mbali na Bukoba kiviile