Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 2,814
- 11,991
Baada ya Mdau wa JamiiForums.com kulalamikia ucheleweshwaji wa kutoa Ripoti ya Matibabu (Medical Report) kwa Mgonjwa licha ya kuwa inalipiwa Tsh. 100,000 kwenye Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, akidai kuwa zamani ripoti hiyo ilikuwa bure, Uongozi wa Muhimbili umetoa majibu.
Mdau amedai kuwa alikuwa akimuuguza Mtoto katika Wodi ya Watoto, amelazimika kurejea Mkoani anapoishi na kufnaya kazi na kuwa hii ni wiki ya pili sasa hajapata Ripoti licha ya kulipia
Kusoma malalamiko ya Mdau soma hapa: Hospitali ya Taifa Muhimbili na urasimu wa kutoa Medical Report
UFAFANUZI WA MUHIMBILI
Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano kwa Umma wa Hospitali ya Taifa Muhimbili, Aminiel Aligaesha anasema:
“Utaratibu huu wa kulipia Medical Report Tzs. 100,000 haujaanzishwa na Prof. Janabi, ni utaratibu ambao umekuwepo takribani miaka mitano iliyopita, hivyo ameukuta.
“Kuhusu suala la Medical Report kuchukua muda mrefu naomba tulichukue..na kuliboresha.”
Mdau amedai kuwa alikuwa akimuuguza Mtoto katika Wodi ya Watoto, amelazimika kurejea Mkoani anapoishi na kufnaya kazi na kuwa hii ni wiki ya pili sasa hajapata Ripoti licha ya kulipia
Kusoma malalamiko ya Mdau soma hapa: Hospitali ya Taifa Muhimbili na urasimu wa kutoa Medical Report
UFAFANUZI WA MUHIMBILI
Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano kwa Umma wa Hospitali ya Taifa Muhimbili, Aminiel Aligaesha anasema:
“Utaratibu huu wa kulipia Medical Report Tzs. 100,000 haujaanzishwa na Prof. Janabi, ni utaratibu ambao umekuwepo takribani miaka mitano iliyopita, hivyo ameukuta.
“Kuhusu suala la Medical Report kuchukua muda mrefu naomba tulichukue..na kuliboresha.”