Picha: Hali Inavyotisha Hospitali ya Muhimbili

EMT

Platinum Member
Jan 13, 2010
14,483
15,303
Picha zote kwa hisani ya Legal and Human Rights Centre

400989_318692704848557_129370793780750_963616_1219006529_n.jpg


423132_318692724848555_129370793780750_963617_835534272_n.jpg


417680_318692748181886_129370793780750_963618_711960210_n.jpg


431336_318692771515217_129370793780750_963619_1639452537_n.jpg


422396_318692814848546_129370793780750_963620_435013991_n.jpg


431039_318692824848545_129370793780750_963621_478397821_n.jpg


401231_318692854848542_129370793780750_963622_540402097_n.jpg


397833_318692874848540_129370793780750_963623_871807748_n.jpg


422938_318692904848537_129370793780750_963624_628915330_n.jpg


431620_318692958181865_129370793780750_963625_371085840_n.jpg


419510_318692994848528_129370793780750_963626_2001156218_n.jpg


416792_318693018181859_129370793780750_963627_225819848_n.jpg


396567_318693044848523_129370793780750_963628_1038905738_n.jpg


418875_318693068181854_129370793780750_963629_629787037_n.jpg
 
You know what EMT? Namuangalia huyu babu and I feel like it is my grandpa...

Maisha bora kwa kile Mtanzania. More distressing pictures coming soon.
 
Kweli inasikitisha mno? Hivi ni nini kinachomshinda JK kutoa maamuzi akiwa kama raisi wa hii nchi? Kweli tutawakumbuka maraisi waliopita! Mungu ibariki Tanzania.:A S embarassed:
 
Wenye mamlaka ya kumaliza mgomo wa dr wako bungeni kwenye kugombania posho ambazo zinatokana na kodi kutoka kwa hawa wagonjwa.JK unajua hawa ni miongoni ya waliokupigia kura?Jali maslahi yako mkuu.
 
Mara nyingi huwa sipendi kuongelea siasa na wala sitoki nje ya mada lakini hawa viongozi wetu tukiwapiga chini japo nusu yao nadhani watajifunza na ni vyema tukaanzia na jimbo la Uzini.
 
Yaani inatisha hata nashindwa kuelewa hawa ndugu zetu walioko kwenye utendaji serikalini wanafikiria nini.
 
Wako wapi madaktari wa China, Cuba, India, na kule kwetu katavi? Sometimes we have to be serious in our thinking. Siasa haina majawabu ya kila matatizo yanayotuzunguka. Tanzania kazi pekee ya maana ni kuajiriwa kwenye wizara fulani fulani hivi, ingawa wabunge nao wameamua kijitwalia nafasi kwa kulazimisha...wengine wanaonekana sio wafanyakazi.
 
Hii ni Tanzania tena kwenye jiji makao makuu? siamini!
Ila jamani..watanzania mmepata mlichochagua! Poleni sana.
 
More pictures from Muhimbili hospital

405827_318693284848499_129370793780750_963637_322825468_n.jpg



417282_318693308181830_129370793780750_963638_1902014866_n.jpg


418816_318693438181817_129370793780750_963640_68032707_n.jpg



424138_318693494848478_129370793780750_963641_1896594355_n.jpg


LHRC wakitafakari baada ya kuona hali halisi ilivyo

402631_318693548181806_129370793780750_963643_650928952_n.jpg


428256_318693571515137_129370793780750_963644_218317366_n.jpg


426753_318693628181798_129370793780750_963645_2011629004_n.jpg


432138_318693824848445_129370793780750_963651_2057943832_n.jpg



432098_318693854848442_129370793780750_963652_381356718_n.jpg
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom