Ichwampaka
Senior Member
- Nov 19, 2018
- 135
- 109
Leo nimepita hospitali ya Muhimbili nimefurahishwa sana na maboresho ya miundombinu kuanzia utaratibu wa kuingia na kutoka magetini, vibao vya ishara, sehemu za kupumzika wageni/wagonjwa, huduma nzuri ya Askari wa SUMA JKT, majina ya wards nk.
Hongera sana uongozi wa Hospitali ya Muhimbili chini ya Prof. Janabi. Maboresho ya muhimu tena kwa kiwango cha juu.
Hongera sana uongozi wa Hospitali ya Muhimbili chini ya Prof. Janabi. Maboresho ya muhimu tena kwa kiwango cha juu.