Picha: Electric shower itatumaliza, serikali itolee ufafanuzi

Picha: Electric shower itatumaliza, serikali itolee ufafanuzi

Nyingi zina shida hiyo ya shoti, hata iwe earthed zikianza kuchoka zinakuwa na current leak ,
Maji baridi halafu unapigwa na shot , lazima uchanganyikiwe
Lakini bado zinaingizwa na kuuzwa madukani
 
Hizo shoti zinatokana nasisi wenyewe kufunga vitu vya umeme kwakutumia mafundi wa mtaani na hatupiti kukagua mara kwa mara kuangalia uimara.uko kwenye magest vingi vimeharibika na hawavifanyii service kwahiyo lazima viwe na shoti.Gest nyingi zinazosema zina maji moto heater zake ni mbovu sana.
 
Hata ufanye installation gani hvo vifude vinashida kwenye heater coil,, zina leak currents zikichoka na wakati fulani hata zikiwa mpya
Kiujumla hizo ni cheap za kichina wanaweka na installation ya fundi maiko ndo kabisaa lolote linaweza kukukumba huko bafuni.
Ukiiona omba ndoo yako jaza maji oga.
Sehemu za baridi mwambie muhudumu alete maji moto unamtip kidogo tu ya mboga.
Unaokoka
 
Kiujumla hizo ni cheap za kichina wanaweka na installation ya fundi maiko ndo kabisaa lolote linaweza kukukumba huko bafuni.
Ukiiona omba ndoo yako jaza maji oga.
Sehemu za baridi mwambie muhudumu alete maji moto unamtip kidogo tu ya mboga.
Unaokoka
Hiyo ya kujaza maji kwenye ndoo kabla ya kuoga imekaa poa .
 
Kapo cheap hako lazima upate majanga nacho, ukiendelea kutumia utakaushwa bafuni
 
Unaweza ukapigwa shoti ukiwa bafuni hadi unaiona Dunia chungu

Haka kadude noma sana one day kalinimaliza stim ya kula mbususu sio poa niliiona mbigu kabisa

Watu wanalalamika sana, ukienda mikoa yenye baridi kama Kilimanjaro, Mbeya, Iringa huko bila maji moto huogi sasa ndio ukakute haka utalia

USSR

View attachment 2614491

Ukisikia umaskini ndo huo, nikiingia Guest yenye hicho huwa silali, that is an emblem of poverty.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom